Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
sasa hii maana yake nini??Mdomo umemeza tofali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hii maana yake nini??Mdomo umemeza tofali.
nisi wachoshe wana jf.Kichwa cha habari cha husika. Kiukweli leo nimepanda hari moja na mwana jf mzuri sanaa tulikaa wote siti ya nyumba kwa kuwa alikuwa busy sana na chati nilimsalaimu tu.
Natamani aione thread hii ani inbobo napenda awe rafiki yangu wa kuchati pia.
Yaani nimejiuliza huyu ni kessie,Joanah, Valentina, Lara1 .....!!!
Mara uonapo thread hii tafadhari ni inbobo tulipanda wote gari ielekeayo makumbusho kutoka buguruni.siti ya nyuma kabisa
Hahahaha mkuu domo tenga nisinge msalimu. Nilimsalimu na kutazama mood. Wlinijibu na kwa saikolojia alionekana kuwa busy na kile anachowasiliana hivyo asingetoa ushirikiano kwa wakati ule.Wanaitwa madomo tenga.
Domo zito kama alikuwa amebunda uji mdomoni.sasa hii maana yake nini??
Hahahaha hapana mkuu. Muhimu kusoma kazingira mkuuMkuu umeshindwa kutumia fursa ukawa unang'aa sharubu kama za paka
HahahahaDomo zito kama alikuwa amebunda uji mdomoni.
Hivi kwani kila mwanamke mnayekuwa na common interest ni kumtongoza tu? Sasa hivi watu weengi sana wako JF, mkibadlishana mawili matatu tu mtaibukia JF na kucheka sana, nina marafiki kadhaa wa kukutana nao jinsi hiyo, na ni marafiki tu wa kawaida huwa tunakutana tunabadlishana mawili matatu bila kutongozana![/QUO
haHhahahhh..!! YAN KWAMBA DOMO LIMEZIDI TOFALI a.k.a Inferiority complex..,, Ongea na mtoto we domo zege.,, Na ukichelewa tu hapo unanuka mdomo baadae itakua kero thatha kwa Mrembo.,,!! AU wew unachojua ukiongea na Manzi ni mtongozo tyu
!! Dah!! akhsante kasie. Ila nawe napenda uwe chating friend wangu kiukweli. Vile ukogo charming i blv sita regret hasa kipindi hiki najuaga tachati vyemaIt wasn't me... Kasie niko Kimbijiii...
Hahahaha hiko komenti yako ni uchochezi tu mkuuUlishindwa ulipokuwa nae. Ww ni zaid ya domo zege
Wanaume wa Dar bhana! ashatongoza amemaliza ,...kutongoza akiwa amemkazia macho demu hawawezi, mpaka aingie WhatsApp, badoo, instra.....ulishindwaje kuitumia nafasi ya kwenye gari mpaka unakuja kulialia hapa, hivi mkoje wakuu...uliogopa kunyofoa sponji za siti, maana nyie mkiongea na demu nyie ndo mnatangulia kutafunatafuna miti.....nisi wachoshe wana jf.Kichwa cha habari cha husika. Kiukweli leo nimepanda hari moja na mwana jf mzuri sanaa tulikaa wote siti ya nyumba kwa kuwa alikuwa busy sana na chati nilimsalaimu tu.
Natamani aione thread hii ani inbobo napenda awe rafiki yangu wa kuchati pia.
Yaani nimejiuliza huyu ni kessie,Joanah, Valentina, Lara1 .....!!!
Mara uonapo thread hii tafadhari ni inbobo tulipanda wote gari ielekeayo makumbusho kutoka buguruni.siti ya nyuma kabisa
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Penye miti hakuna wajenzi
Wanaume wa Dar bhana! ashatongoza amemaliza ,...kutongoza akiwa amemkazia macho demu hawawezi, mpaka aingie WhatsApp, badoo, instra.....ulishindwaje kuitumia nafasi ya kwenye gari mpaka unakuja kulialia hapa, hivi mkoje wakuu...uliogopa kunyofoa sponji za siti, maana nyie mkiongea na demu nyie ndo mnatangulia kutafunatafuna miti.....