Mwana JF unaweza kueleza maana ya avatar yako?

mimi ninabadili kila wakati iliyopo sasa inamaanisha nauza vitenge na ninatengeneza mapochi kama unayoyaona hapo pamoja na walet pamoja na viatu ...............
 

Attachments

  • _20170422_133553.JPG
    39.7 KB · Views: 32
  • images (1).jpg
    9.5 KB · Views: 30
Mimi napenda niwe kama huyo mdada katika maisha yangu and that is my prayer. I want to be a good wife to my hubby
Good and nice ......wishing you all the best in your vission.
 
Ana rangi nzuri sana. Huwa naamini wanawake weusi ni wazuri tofauti na weupe wengi huwa wanabebwa na weupe wao. Kila sisi tulio katikati ngumu kujua kama mtu mzuri au mbaya ni mpaka mtu aone.
Hatimae weusi tumepata kisifiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…