Mwana JF wa Mwezi.

Mwana JF wa Mwezi.

kaka yangu kipenzi njoo huku unaitwaa Joseverest
 
Je, anavyowahi hizo mada huwa anachangia mada husika au ni wale wale wenye tabia za kuandika ..

Napita tu!
Ngoja waje,..
be 1st to reply..
wacha niwahi siti..
 
Je, anavyowahi hizo mada huwa anachangia mada husika au ni wale wale wenye tabia za kuandika ..

Napita tu!
Ngoja waje,..
be 1st to reply..
wacha niwahi siti..
Muda mwingine anaandika ushauri mzuri, sijawahi kuona akiandika 1st to reply..labda hiyo ngoja wenyewe waje
 
Jamaan ebu mpumzisheni Joseverest simu yake bundle lake ebu mwacheni kidogo

Jose na ww usiogope maneno ya watu humu jf endelea kucomments kama mwanzo
 
Habari wakuu,kichwa cha habari hapo Juu kinajieleza,binafsi namchagua huyu jamaa Joseverest...kwa sababu ya ushapu wake wa kuwa #1 kureply kwa kila uzi unaoanzishwa hapa Jf kwa majukwaa yote...bado natafakari huyu jamaa inakuwaje hadi anakuwa wa kwanza najua hata hapa kwenye uzi wangu atakuwa wa kwanza...salute mkuu.

Kwani Mkuu Joseverest una ID ngapi humu JF?
 
Back
Top Bottom