Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Dejavu

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2018
Posts
1,568
Reaction score
3,427
Ndugu zangu, humu kuna member ni makini na wanaelewa mambo mengi mno na michango na mada zao zinakufungua sana akili na kukupanua kimawazo ila kutokana na mfumo kutowatambua wanakosa haki yao stahiki ya kuwa appreciated na hatimae kuwa underrated. Hii fursa yako kuwapa big up ili waendelee kuwa msaada kwenye hii forum.

Wataje, utoe sababu then uwatag ili wajue wana mchango sana kwako. Kifupi wataje wanaokukosha kwenye hii forum ya Melo.
Let's gooooooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…