Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Respect sana mkuu chige hata mimi nazikubali sana nondo zako kwenye jukwaa la buradani. Tuombe Mungu kuna siku tunaweza shauriana kwenye hii tasnia ya muziki.
Much respect dude... music is my favorite industry na hata kama nipo njiani kuzama kwenye film industry, my deep passion in music itabaki pale pale, na kwa maana nyingine, will always be available!
 
Hahahahah aiseee katika vitu mm mvivu ni kutype japo nikiamua kuandika loooh naweza andika mpaka basi tatizo watu wavivu kusoma ndo maana huwa nafanya ufupisho tuendane nao sawa
Wewe haupo kwenye kundi la wavivu wa ku-type manake usingeweza kuanzisha threads mara kwa mara!

Binafsi naona uvivu ku-type ikiwa natumia simu, lakini unipe PC, dadeki... usiponishika mkono basi tarajia magazine na sio gazeti!!!
 
1. Zittojunior: napenda mada zake kule jukwaa la intelijensia
2. Ichoboy: anawashikisha adabu wakenya
3. Skyeclat: naye anamada nzuri za historia.
 
Hahahahaaaaa.

Ila kuna watu wana uwezo wa kuandika maneno mengi na yenye mantiki aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…