Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Nawakubali Madame B anaonekana ni mtu asie na makuu sana.

kapeace: ni mtoto flani anafaa kwa matumizi ya nyumbani.

Mzigua: sifa zake nabaki nazo

GuDume: mtunzi mzuri wa hadithi
 
Demiss licha ya kuwa ni mtu anaespeak mind yake bila kujali chochote pia ni Mtu rahisi sana kuendana nae...yaani anyone can easily befriended with her.

Precisely, huwa anafanya research anaandaa list zake za boys ma HB humu JF sijawahi kukosa kwenye list yake... Thats not simple, That's noble respect anayonipa is priceless.

Anayajua mahaba na anapenda kwa dhati. Refers mshana Jr case na unguli alionae demiss kule kwa wakubwa.

Wewe Demiss ni mzuri, charming, and tender...achana na wale mademu pugi demu ana mikono migumu hadi akigusa Laptop inaandika "Found new hardware"...Ahahaha!! Demu ngozi ngumu hadi akikonyeza kulia na mguu wa kulia unanyanyuka kidogo. Ahahaha!

Keep the fire burning swry lady.

[emoji176]
 
Demiss licha ya kuwa ni mtu anaespeak mind yake bila kujali chochote pia ni Mtu rahisi sana kuendana nae...yaani anyone can easily befriended with her.

Precisely, huwa anafanya research anaandaa list zake za boys ma HB humu JF sijawahi kukosa kwenye list yake... Thats not simple, That's noble respect anayonipa is priceless.

Anayajua mahaba na anapenda kwa dhati. Refers mshana Jr case na unguli alionae demiss kule kwa wakubwa.

Wewe Demiss ni mzuri, charming, and tender...achana na wale mademu pugi demu ana mikono migumu hadi akigusa Laptop inaandika "Found new hardware"...Ahahaha!! Demu ngozi ngumu hadi akikonyeza kulia na mguu wa kulia unanyanyuka kidogo. Ahahaha!

Keep the fire burning swry lady.

[emoji176]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] found new hardware
IMG-20180729-WA0016.jpg
 
Namkubali sana Maxence Mello.

Ni mwanajeshi aliyesimama kidete hata baada ya vitisho kutoka serikalini vilivyotaka kuingilia uhuru wetu hapa.

Pia Max ni mtu mmoja hana shobo na very humble individual.

Ila tunamuomba aipoze team yake iwe na simile za busara katika kutoa bans na kufuta threads.
 
Last edited:
Ahsante sana mdogo wangu hata mimi nathamini sana sanaa michango yako hapa jukwaaani.
Binafsi nawakubali wanajukwaaa wote humu, japo kuna watu ambao huwa napenda sana kusoma michango yao:
Ndugu yangu FisadiKuu
chige ,
JokaKuu ,
Wick /Palantir/Indundu
zitto junior ,
Zitto ,
Pascal Mayalla ,
whitehorse ,
charty ,
espy ,
Heaven Sent .
Da'Vinci ,
Son of Gamba ,
mitale na midimu ,
Consigliere ,
Red Giant ,
britanicca ,
GuDume

NB: Hawa ni wachache tu
hahaa kuna mmoja ana majina matatu nimemuona hapo!..
Me nashukuru michango yako huwa inanisaidia sana pamoja na vitabu vyako!.. List yako ni yangu kasoro kwangu wanaongezeka
hearly mchawi/nuksi/MD/CwK
Mzigua90
Demiss
Shunie
Kasie
Prof
Kiranga
Hawa watu nikiwasoma huwa napata kitu!. Kuna HR666 naona siku hizi hayupo online naye alikuwa na pumba za kuniongeza siku za kuishi.
 
hahaa kuna mmoja ana majina matatu nimemuona hapo!..
Me nashukuru michango yako huwa inanisaidia sana pamoja na vitabu vyako!.. List yako ni yangu kasoro kwangu wanaongezeka
hearly mchawi/nuksi/MD/CwK
Mzigua90
Demiss
Shunie
Kasie
Prof
Kiranga
Hawa watu nikiwasoma huwa napata kitu!. Kuna HR666 naona siku hizi hayupo online naye alikuwa na pumba za kuniongeza siku za kuishi.
hahaaaaa"" hiyo sifa uliyompachika " HR666 nadhani huwa unanipachikaga na mimi"" huna Araby kabisa wewe kijana
 
Kuna rafiki yangu mmoja anamkubali GuDume mpaka basi, alijiunga JF kwa ajili yake!
doh!! huyo nae hatari aisee, ila mimi pia Madame B kanifanya nijiunge nilikua nasoma tu nyuzi as guest uzi wake wa kuhojiwa ukanivutia zaidi nimechukua huu uamzi so siwezi mcheka jamaa.

GuDume nae anavistory story vya kuchangamsha japo kamba
 
Namkubali Mshana jr kwa sababu ni mtu anayenijua nje ndani kuanzia Jf mpaka ndani kabisa bila nguo.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji125] [emoji85] [emoji125] [emoji85] [emoji13] [emoji121] [emoji121] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
 
Back
Top Bottom