Msikilize Mfalme wa Jordan piaDu !! Huyu ni mwarabu wa kwanza anayeongea kizungu kilichonyooka bila kuchanganya tunes za kiarabu
Tofautisha kusoma na kukaririMara nyingi watu % kubwa wakisoma huwa wanaelimika. Ila simaanishi elimu ya madrasa.
kuna chuki hapo? Mkiambiwa muache itikadi kali hamuachi kulalamikaPunguza chuki, chuki ni maradhi ya mwili na akili
Hapo Pope Kaingiaje Sasa...?Uislamu hauna idol wala mtakatifu ,kama kama kalaani ni yeye usilazimishe ...Sio nyie yule papa akisema basi mnafuata ...
Tamko ni lake maana kila mtu anatumia akil zake.
Kwa hiyo vita ya ukombozi inafanywa bila kutumia akili!?Kinachotokea Palestine hakina utofauti yoy ote na vita vya ukombozi.
Hakuna matamko ya mtu yupo sawa kwa upande wake.Hapo Pope Kaingiaje Sasa...?
Hoja ni Mwanamfalme Kuwalaumu Hamas....
Sasa huyo Baba Uliyemtaja Kafanyaje tena...?
Mbona Unataka Kulifanya Jambo Liwe Mtambuka..?
israel sio wavamizi wa ardhi ya palestina usilinganishe na wakoloni walioivamia AfrikaHawa wapalestina wamekuwa wakiishii chini ukoloni wa israel kwa zaidi ya miaka 70. Watu kama nyie wenye akili fupi mnataka kuonyesha kwamba hamas walianzisha vita October 7. Ingekuwa Hawa ni wapiginia ukoloni kama ZANUPF, ANC, MAUMAU au UNITA Leo nchi Nzima ingekuwa inawaombea kwa sababu ni watu weusi. Kinachotokea Palestine hakina utofauti yoy ote na vita vya ukombozi. Sisi watu weusi tulivyokuwa wajinga na mambumbu badala angalua kupiga kelele vita visimame hata kama huwa pendi Palestine kwa sabubu ya damu inamwagika, tumebaki kushangilia wauwawe tu. Yani kwasababu sio mtu mweusi akifa haina shida. Kaa Chini jitafakari kama wewe sio mnyama wa porini Anaye fanania binadamu. Initia aibu na kuuzinisha mtu mweusi baado nyuma kiakili na kifikira
ni kichekesho, yeye ni nani mpaka aagize? Hata kama angekuwa ni rais wa Tanzani hilo agizo lingeishia hapahapa nchini wala Israel isingesikia amesema nini na vyombo vikubwa vya habari vya magharibi visingeandika. Duniani wenye sauti wakiongea wanajulikana na kupewa attention
Mimi nimesema "kusoma"Tofautisha kusoma na kukariri
Kwa hiyo Hamas wakisema ndio mtawakubali?Uislamu hauna idol wala mtakatifu ,kama kama kalaani ni yeye usilazimishe ...Sio nyie yule papa akisema basi mnafuata ...
Tamko ni lake maana kila mtu anatumia akil zake.