Mwana mitindo wa ufaransa kasilimu

Mwana mitindo wa ufarasa Marino Himer kasilimu kasema hi siku ndo siku yenye furaha maishani mwake.View attachment 2699139
Ma shaa Allah Tabaraka Allah.

Umefika ule wakati uliohidiwa kwenye Qur'an:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


Qur'an 110:
1.
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1
2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2
3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3
 
Analenga hela za mafuta, na wale mandevu wanashoboka na mademu wa kizungu si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…