Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ni kijana natamani sana niwe na mpenzi lakini kila ninae mpata anaishia kunichuna nikiwaomba mambo wananipa sababu zisizo na msingi mfano mmoja nilimpata tukaingia mpaka gest jamaa akadai tumbo linamuuma kwa hiyo mchezo bac,wana JF.NIFANYAJE?
''Jamaa akadai tumbo linaumuuma'' Haya bana!!!
wapi mbona umekata ww?
hahahaha happiness win kwahyo we ukshaingia rumu ndio kwisha habar yako?
dah! mpaka amekubali kwenda nawe guest lakini bado ukashindwa kula mzigo? kama tumbo lilikuwa linamuuma angekukatalia toka huku nje asingekubali kukutia hasara ya kukodi chumba.Usiwaogope sana hawa viumbe kuna wakati unatakiwa utumie nguvu za kijeshi ili kumweka mrembo sawa.
Nalog off
JWTZ si unaona wanavyowapelekesha M23?jeshi gani mkuu? la Tanzania au Kenya.