Kama ni ya Tanzania uwage makini basi we Simba nguvu moja.
Itakuwa ya MabingwaWe unaongelea ligi gani? [emoji15][emoji15][emoji15]
Hata Timu unayocheza nayo huijui kweli wewe ni Mbumbumbu. Kikosi kitakuwa kile kile dhidi ya Mashujaasisi kikubwa tunataka maoni ya simba na sio sio stand united wala yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Nimeshindwa kumuelewa yaani hata hajui wanacheza na nani? Halafu anasema Simba nguvu moja. 😀😀😀😀
🤣🤣🤣 nimecheka.Hata Timu unayocheza nayo huijui kweli wewe ni Mbumbumbu. Kikosi kitakuwa kile kile dhidi ya Mashujaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mwanaSimba huyo. Ni mamluki.Hahaaa. Nimeshindwa kumuelewa yaani hata hajui wanacheza na nani? Halafu anasema Simba nguvu moja. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
JF ni open kwa watu wote. Kama unataka maoni ya wana Simba pekee, nenda Instagram kwa Hajisisi kikubwa tunataka maoni ya simba na sio sio stand united wala yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba au simba?simba anacheza na singida
TPLWe unaongelea ligi gani? [emoji15][emoji15][emoji15]
HahahhaahWe unaongelea ligi gani? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kwani leo mnacheza na Stand?
Kweli nyie mambumbumbusisi kikubwa tunataka maoni ya simba na sio sio stand united wala yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha naye acheze leoHusika na kichwa cha habari hapo juu naamini viongozi wakubwa wa simba wapo humu kwa hyo kama shabiki toa maoni yako kuelekea mchezo huo kuanzia kikosi kianze kipi na wachezaji wapeni ushauri wafanye nn kuelekea mchezo huo ambao ni muhimu kwetu sisi wote kama washabiki na wapenzi wa simba .simba nguvu moja
Sent using Jamii Forums mobile app