Mwanaasha aanza kidato cha tano


Naona watu tunasahau kuangalia picha kubwa ya maisha ya mwanadamu chini ya jua. Tunaangalia mambo ambayo hayapo popote pale ila motoni
 
Wakati mwingine nadhani tunapaswa kuwa considerate na binadamu wenzetu. kama kumjadili, amejadiliwa sana. Hivi hatuna wajibu wa kumchukulia Mwanaasha kama binadamu ambaye naye anahitaji faragha kidogo katika kujenga maisha yake?
 
Stori za kutunga huwa zinavutia sana...

Hope Mwanaasha atafuata mkondo wa huyu jamaa yako na kuja kuwa mtaalam mzuri huko mbeleni. Namtakia kila la kheri, ingawa alifeli katika shule ambayo wengine wote walifaulu lakini anayonafasi ya kujiuliza na kurekebisha alipokosea
 

Dr. Ndalichako, ona sasa mtoto wa watu bado anaandamwa. KISA ni kutoa matokeo ya mitihani kwa kutumia majina ya watoto wetu, badili mfumo.
 
acha umbea otherwise utuambie wewe ni muuza bar au dereva tax!!
kwani wauza bar au dereva tax wakoje acha kujiona wewe ukojuu wakati zinazo kufanya uonekane uko juu ni kodi za hao hao unao wabeza pumbavu kabisa...una mwita mmbea hivi ingekuwa mtoto wa mlala hoi angepokelewa kidato cha tano
 
Watz fanyeni kazi, uchumi kuanzia familia hadi wa nchi unahitaji bidii ya kazi na sio majungu vijiweni, kwenye screen za komyuta na simu za mchina. Kwanza nimpongeze Rais kwa kutoingilia matokeo ya mtihani wa mtoto wake, maana kama angeweza kuelekeza Dvision four kuwa II au I ndio tungeona ajabu, lakini ameacha matokeo yakatoka kama yalivyo, kwa maana kwamba mtoto alivuna kile alichopanda na hili Rais kama mzazi hakuwa na cha kufanya. Katika suala la familia, Rais amekuwa mzazi kama wazazi wengine na mtoto wa Rais katika mfumo wa elimu ya Tanzania amekuwa kama Watanzania wengine. Baada ya matokeo hayo, familia ya Rais inahangaika kumtafutia mtoto wao shule ili aendelee na masomo ya juu, je, kama familia ingemchukua na fomu four yake hiyo tukamkuta anafanya kazi kwenye taasisi yoyote ndipo tungeona vibaya. Suala la mwanafunzi kuruhusiwa kusoma na kutafuta credit za kufanya mtihani wa form VI sio geni, wengi wamefanya hivyo na kufaulu vizuri hadi kuingia vyuo vikuu vya umaa.
 
Kwani aliacha mwaka gani?

Hilo unapaswa kulifahamu na unifahamishe mwaka alioacha ukilinganisha na kuwa na mtoto mwenye umri wa wa miaka zaidi ya 21 kama elimu ya Chuo Kikuu TZ inavyohitaji. CV inaonyesha aliacha mwaka 1991, ni kweli ?
 
Wewe vuta in kivute hauna tofauti na kiazi sasa mambo ya familia ya Watu yanatuhusu nini sisi? Mbona sisi hatukufatilii Kama were ulipata division gaini? AMA huyo mwanaasha Hata angepata div 1 angesaidia vipi kupunguza inflation iliyopo kwa sasa?, au Hata angepata zero wewe ungefaidika na nini?, fata mambo yako kiazi wewe na usituletee umbea Hapa pumbavu.
 
Samahani yoyo umesema? ina maana Dr ana mtoto mkubwa kiasi hicho? je alimpata walipokuwa madhahabuni au baada ya kuacha kumtumikia bwana?

baada ya kutoka madhabauni!!alizaa na Rose Kamili!Anao 2 na ukijumlisha kajukuu kake kalikozaliwa na mke wa mtu jumla wanakuwa 3.
 
Na hapo baadaye usishangae akawa waziri wa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…