Tema Mate
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 107
- 193
Zitto Kabwe umeninyima usingizi jana-Soggy Doggy
Baada ya Zitto kushinda kesi yake jana dhidi ya Chadema,msanii Soggy Doggy amefunguka na kusema haya.
"Umeninyima usingizi jana,this is not fear kwa kweli,mtani tuachie Chama kama vipi maana mtaani watu wanatucheka" SORCE EATV
Huyu ni Mwanachadema Mmoja tu Celeb aliyeamua Kujitokeza hadharani kukili,ZItto amewagonga kichwani kiasi kwamba Wamekosa Usingizi.Poleni na wengine wote mliokubwa na Kimbunga cha CATRINA CHA ZITTO KABWE.