Mickelina82
New Member
- Sep 15, 2019
- 3
- 2
Ngoja aje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mbona hatumi picha
Wapi home nije mie babu babua.Hodi wana JF .Naitwa Mickelina
Tusaidie na ka picha kidogo.Hodi wana JF .Naitwa Mickelina
Asante jinsia keKaribu sana JF, Mickelina82! Sijui ni jinsia gani mwenzetu!
Mi ndo kiranja hapa so fata maelekezo uliyopewa hapo juuAsante jinsia ke
Hua tuna taratibu za kuwasalimia member wenzetu na kutengeneza urafiki kabisa wa faida kiuchumi na kijamii..Asante jinsia ke
atakutana na mimi kaa kando mkuuHua tuna taratibu za kuwasalimia member wenzetu na kutengeneza urafiki kabisa wa faida kiuchumi na kijamii..
Hivyo kwa taadhima nakuomba uweke picha na namba zako watu wakujulie hali.
Huwezi jua utakutana na nani!
Asante jinsia ke
Karibu sana JF, Mickelina82! Sijui ni jinsia gani mwenzetu!
[/QUOTE
Tusaidie na ka picha kidogo.
Asante sana mwenyeji wanguWaooo! Tunawahitaji sana kwa wingi humu. Tafadhali washawishi na rafiki zako wengine wa jinsia yako wajiunge JF, The Home of Great Thinkers.
Picha hujawekaAsante sana mwenyeji wangu
Dah mgeni unaunganisha quotes hivyo?! Me na uwenyeji wangu bado sijajua 😂Asante sana mwenyeji wangu