Akawa anatimuliwa jamani eti arudi kuchambana huko hapawezi πKuna kipindi Warumi alitest test jukwaa la siasa akapotea [emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachoshangaza zaidi inakuwaje analeta ubuyu ila Mambo ya afya yake hata hakushirikisha ,alikuwa anapambana kivyakeYaan mim siamin jamani mpaka muda huu
Hapo sielewi jamaniKinachoshangaza zaidi inakuwaje analeta ubuyu ila Mambo ya afya yake hata hakushirikisha ,alikuwa anapambana kivyake
Vizuri upo ndugu ,na wewe siku hizi huingii JF mara kwa mara ,tusisahauliane sana si unaona maisha yenyeweHapo sielewi jamani
Mim sijawah wasiliana nae personal
Alipenda kutumia hili neno binamu.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38].
Hivi binamu unakumbuka kipindi kile kwenye vichambo kwa Sinta; ile comment ya wale wapenzi wawili walioamua kujifanya askari na nesi? Na yule wa kumchamba mwenzie sijui ana mguu kama mtwangio wa kinu?
Alipenda kutumia hili neno binamu.
Daah apumzike kwa amani.Sana. Hadi tukajikuta tu na sisi wambea wasaidizi tunaitana binamu pia
Daah apumzike kwa amani.
Mpaka Jamii Intelligence alifika ,ila yakamshinda akarudi zake Celebrities forum.Kuna kipindi Warumi alitest test jukwaa la siasa akapotea [emoji23][emoji23][emoji23]