[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Pumzika Love.
[emoji120]Ahsante kwa maisha yako.
Ahsante kwa kila kicheko ulinipa.
Sikukujua kwa sura, nilikupenda kwa uhusika uliouweza mno.
Ilinitosha.
Celebrities Forum itabaki kuwa yako.
Aina yako ya umbea na namna unausongesha ilikuwa ta tofauti mno.
Umefanya mpk nimepat ban ................wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya bana pumzika mdogo wangu.
Ahsante for all the moments we laugh.
Ulitaka nikukumbuke ukiwa na furaha.
Hukutaka nione maumivu yako.
Nitabaki nakukumbuka a Happy person.
Nitabaki nakukumbuka a Self Owning person
Love you, and Nenda Salama Warumi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Haya ila.
Huyo ndiyo warumi?View attachment 1917793
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.
Taarifa hii nimepewa na dada yake muda huu, msiba upo Tegeta .
Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya.
UPDATE.
Misa ya kumuaga itafanyika kesho tarehe 27 August saa 8 mchana Muhimbili.
Pia soma > Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi
Atakuwa alikukula madame haki siyo maombolezo haya.[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Pumzika Love.
[emoji120]Ahsante kwa maisha yako.
Ahsante kwa kila kicheko ulinipa.
Sikukujua kwa sura, nilikupenda kwa uhusika uliouweza mno.
Ilinitosha.
Celebrities Forum itabaki kuwa yako.
Aina yako ya umbea na namna unausongesha ilikuwa ta tofauti mno.
Umefanya mpk nimepat ban ................wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Haya bana pumzika mdogo wangu.
Ahsante for all the moments we laugh.
Ulitaka nikukumbuke ukiwa na furaha.
Hukutaka nione maumivu yako.
Nitabaki nakukumbuka a Happy person.
Nitabaki nakukumbuka a Self Owning person
Love you, and Nenda Salama Warumi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Haya ila.
Dah!!Atakuwa alikukula madame haki siyo maombolezo haya.
Msamehe maana umeandika hujawahi kumuona kwa sura lakini yeye kaandika aliyoyaandikaDah!!
Anyways.
Wacha nireserve my comment!
Uko na shida mahali, na ni mwepesi wa kusahau sana.Atakuwa alikukula madame haki siyo maombolezo haya.
Msamehe bure.Uko na shida mahali, na ni mwepesi wa kusahau sana.
Mbona watu walilia na wewe sana hapa ulipofiwa,ulipokuwa unauguza je wale wanaume wote walikukula?
Wanasemaga umri unaendana na hekima lakini mbona umekosa hata robo ya hekima?
Oops wrong timing ...Atakuwa alikukula madame haki siyo maombolezo haya.
Kanishangaza sana bora umemkumbushaUko na shida mahali, na ni mwepesi wa kusahau sana.
Mbona watu walilia na wewe sana hapa ulipofiwa,ulipokuwa unauguza je wale wanaume wote walikukula?
Wanasemaga umri unaendana na hekima lakini mbona umekosa hata robo ya hekima?