Inasikitisha sana lakini ndio mapenzi ya Muumba. RIP Mtoi. Tutaendeleza mapambano kwa kukuenzi wewe na makamanda wengine waliotangulia mbele ya haki. Umetangulia nasi tuko nyuma yako.
Jamani hili lisanamu FF huwa ni binadamu au ni li-robot? Maake binadamu hawezi kuwa na roho ya jiwe kama linavyoonesha!
Mhmn!! Kama ni kweli apumzike kwa amani,kama ni siasa basi CCM hawana utu hata chembe maana tumeyaona mauaji yameshaanza kutekelezwa Mara huko kwa Wapinzani!!
Too soon bro I know this guy a very young and determined politician ,nilikua nampenda sana anapo defend hoja za udini kwa UKAWA!!!daaah amefariki kipindi anahitajika sana R.I.P
Inasikitisha sana lakini ndio mapenzi ya Muumba. RIP Mtoi. Tutaendeleza mapambano kwa kukuenzi wewe na makamanda wengine waliotangulia mbele ya haki. Umetangulia nasi tuko nyuma yako.
Jamani hili lisanamu FF huwa ni binadamu au ni li-robot? Maake binadamu hawezi kuwa na roho ya jiwe kama linavyoonesha!