Julius Malema Jr
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 653
- 155
condolences kamanda mtoi,s family, ni pigo kwa wanamabadiliko.
Nani kakudanganya kuwa alikuwa mbunge mtarajiwa yule mwizi wa machungwa yule.
Aisee,kuanzia leo sitacoment post yeyote ya ccm.....
Naichukia ccm
Taarifa za hivi punde nikuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia
WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.
Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.
========
UPDATES:
Hicho kilevi unachotumia acha mara moja.unakoelekea ni kurukwa na akili bwanamdogo.Inauma sana Mkuu...wacha kamanda apumzike kwa amani sema kamanda unajua nini?? Tuwe na mashaka na MA-CCM kwa kifo cha kamanda wetu si unajua sisi hatuamini katika Mungu...kila kitu sisi tunakomaa tu kwamba ni Ma-CCM #RIP brother Mtoi