Julius Malema Jr
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 653
- 155
condolences kamanda mtoi,s family, ni pigo kwa wanamabadiliko.
So sad Mungu amlaze mahali pema na ampokee ndugu Mtoi. ..Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe..Mungu awape faraja na nguvu wanafamilia katika kipindi hiki kigumu sana wanachopitia