TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali


Rip Kamanda Mtoi pumzika kwa Amani hakika hili ni pigo kubwa kwa wanamabadiliko wote!
 
Inna Lilah waina ilaih rajiuun...........
 
Duuuuu
Kifo hakina huruma!!

R
I
P mohamed mtoi
 
Last edited by a moderator:
Nikiwa kama mwanaJF mkongwe naamua kuomboleza kifo cha mwanaJF mkongwe na mzalendo ndugu Mohamed Mtoi kwa kutopost chochote kwa siku tatu!

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!!

RIP MTOI!!

Sema sitatumia ID hii,gamba una id 6
 
Imeshtusha sana mohamed mtoi kama ndoto jamani. Pumzika kwa amani
 
Nikiwa kama mwanaJF mkongwe naamua kuomboleza kifo cha mwanaJF mkongwe na mzalendo ndugu Mohamed Mtoi kwa kutopost chochote kwa siku tatu!

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!!

RIP MTOI!!

Wewe utulie kabsaaaa,Sema sitatumia ID hii,gamba una id 6
 
Dah siamini kama ni kweli,umeondoka mapema sana Mtoi. Mwenyezi Mungu wa Rehema na fadhili akurehemu na mwanga wa milele ukuangazie Kamanda. Nenda nenda nenda ukapumzike mahali pema Mtoi.
 
kiukweli nasoma huku machozi yananitoka ,nilitamani uone mabadiliko MTOI,Rux mund

 
Inna lillah waina illaih rajiun. Allah akulipe yaliyo mema kwadhamira yako. Allah akutengee janat firdaus. Tunakuombea dua na mapumziko mema Mohammed. Tutakumiss sana. Lakini Allah ndiye mwenye kupitisha Kudra. Amiin
 
Rest in Peace Mohamedi Mtoi

Tulikupenda ila Mola amekupenda zaidi...

Am speechless....

Ila kwa Mungu nitakuombea.... Haki ya Mungu tena!!

Ulale pema peponi Muddy. Ulale pema mdogo wangu.
 
Last edited by a moderator:
Too sad, too sudden for you young patriot. Kwa nini sasa? Kwa nini? Ah, poleni sana wana Lushoto.

Ni wakati mgumu sana. The sun will rise again.
 
wadau,hili gari sijalitambua..ni aina gani?

Mods tunaomba mubadili picha ikiletwa itakayopigwa leo.

R.I.P Mtoi.. daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…