Kwa sisi wanaCHADEMA ndugu mohamed R.I.P alipambana na hoja za udini kuanzia jf hadi nje ya jf..tutakukumbuka daima kamanda..
Yeah kweli. Hata mtu akikuua ndiyo siku yako imefika, lakini halizuii yeye kupelekwa mahakamani au jela.acheni ujinga hafi MTU isipokua sikuzake zimefika
"sema wote ni wa m/ mungu nawote tutarejea"