TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Ni vyema tukajua mazingira ya ajali ... Ukiangalia gari haioneshi kama ilikuwa ajali kubwa sana ...
 

Inna Lillah Wainaillah Rajiun
 
Pole kwa wanafamilia na wote walioguswa na Msiba! this is sad news, Poleni wanachadema na wanaukawa wote.
 
Dah asee yule mzee mchawi kama kijana wake wa bumbu.... asee duh, rip kijana
 
Dahh!!,tumempoteza mpambanaji. Apumzike kwa amani Mtoi Mohammed
 
R. I. P
 

Attachments

  • 1442141629665.jpg
    10.4 KB · Views: 327
Nimelia sana ila sina jinsi.....


R.I.P. Kamanda Mtoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…