TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,033
Reaction score
723
Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa Figo

Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf

msg-1456658372-353.jpg


msg-1456658372-354.jpg



M.Byabato
0754527358
Bukoba
 
Back
Top Bottom