TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.

Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf

M.Byabato
0754527358
Bukoba
Asante Mungu kwa maisha ya Ta Muganyizi.
 
Back
Top Bottom