Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rest in heavenly peace comrade!Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf
![]()
Ta Muganyizi
www.jamiiforums.com
M.Byabato
0754527358
Bukoba
Kweli kabisa, kuna huwa linanipita sana hilo wazoDaah R i p kuna mda ukiwaza kifo hutaman ata kutafuta maaendeleo maana unaona haina maana kbs
Asante Mungu kwa maisha ya Ta Muganyizi.Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf
![]()
Ta Muganyizi
www.jamiiforums.com
M.Byabato
0754527358
Bukoba
Sema ndo ivo binadam tumeumbwa kusahau maisha yanaendeleaKweli kabisa, kuna huwa linanipita sana hilo wazo
R.I.P Ta MuganyiziWakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf
![]()
Ta Muganyizi
www.jamiiforums.com
M.Byabato
0754527358
Bukoba