waeza kuta Kuna ugomvi wa asili Kati ya wanakijiji na wanachuoHao wanainchi wametumia akili gani kuua mtoto wa mwenzao kisa tu wamemkuta na mali ya wizi, kwann wasingemuhoji kisha wamkabidhi kwa polisi?!
Haya yote ni mambo ya watu tu.Hapo wanatakiwa kusema bwana alitoa, wananchi wakapiga kwa hasira wakaua.....jina la bwana lihimidiwe.
Mara nyingi chanzo huwa ni mademu, au show off za wanachuowaeza kuta Kuna ugomvi wa asili Kati ya wanakijiji na wanachuo
Tatizo wanafunzi huwa wanalugha za dharau sana kwa raia.Hao wanainchi wametumia akili gani kuua mtoto wa mwenzao kisa tu wamemkuta na mali ya wizi, kwann wasingemuhoji kisha wamkabidhi kwa polisi?!
Kipindi flani pale IFM jamaa kapigwa mawe kisa wamezinguana na demu wake akamuita mwizi na kulikuwa na event flani pale, ni ngumu kubeba story kama ilivo.Mwanachuo aliye kua akisoma katika chuo cha elimu ya biashara (CBE) Tawi la Mbeya Jofrey J. Nyoni aliuwawa na wananchi mwenye Hasira kali katika kata ya Sinde jijini Mbeya.
Mwanachuo huyo aliuliwa ikidaiwa kumiliki simu ya wizi siku ya tarehe17-05-2021 taarifa rasmi zilitolewa chuoni tarehe 18-05-2021.
View attachment 1790538Uchunguzi wa kifo hicho bado unafanyika.
Ndo hivyo mkuu mda mwingine mtu huuliwa pasipo hatiaKipindi flani pale IFM jamaa kapigwa mawe kisa wamezinguana na demu wake akamuita mwizi na kulikuwa na event flani pale, ni ngumu kubeba story kama ilivo.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Mwizi wa kuku au aliyeiba 2000 anauwawa mzeeKumiliki simu ya wizi? Kwahiyo aliyemuuzia ni nani? Simu ndio utoe uhai wa mtu? Mi nasemaga kuna MiAfrika inabidi irudishwe tu utumwani