Mwanachuo natafuta kibarua kipindi hiki cha likizo

Mwanachuo natafuta kibarua kipindi hiki cha likizo

Tommy 911

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2019
Posts
600
Reaction score
510
Habarini wana JF

Mimi ni kijana ni Mwanachuo kwa sasa nipo likizo. Nahitaji msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki cha miezi miwili

Posho hata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
 
Habarini wana jf

Mimi ni kijana ni mwanachuo kwa sasa nipo likizo...nahitaj msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki Cha miezi miwili posho ata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
Umemaliza fild?
Mkoa mbona hutaji?
 
Habarini wana JF

Mimi ni kijana ni Mwanachuo kwa sasa nipo likizo, nahitaj msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki cha miezi miwili

Posho hata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
 
Habarini wana jf

Mimi ni kijana ni mwanachuo kwa sasa nipo likizo...nahitaj msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki Cha miezi miwili posho ata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
 
"Hata afutatu kwa siku ni sawa"

Ngoja matajiri wa JF waje.
 
Habarini wana jf

Mimi ni kijana ni mwanachuo kwa sasa nipo likizo...nahitaj msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki Cha miezi miwili posho ata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
Nenda viwandani utapata 7000 kwa siku. Kama upo Dar Epza pale viwanda vingi tu.
 
Kama mwenyeji Dar au kama upo Dar na una mtaji kidogo jichanganye kwenye umachinga utapata zaidi ya hio Tsh3,000/= kwa siku.
hpo ndo sina idea yoyote,, umachinga km wa nn?
 
Back
Top Bottom