Mwanachuo natafuta kibarua kipindi hiki cha likizo

Mwanachuo natafuta kibarua kipindi hiki cha likizo

Kama upo dodoma njoo nikupe mchongo elf 7000 kwa lisaaa ila utamenyeka mbaya mbovu


Kaz hyo utapiga siyo Zaid ya masaa matatu. Tu
 
Kama unataka "aftatu" tu kwa siku mbona simple. Hiyo ni kama $1 kwa siku. Ingia SproutGigs zamani walikuwa wanaiita Picoworkers au site yoyote ya micro-jobs kupata $1 ni suala la dakika tu.

Zamani nilikuwa naitumia kwa siku saa 1 tu. Nilikuwa nafanya tasks za ku-like posts za Reddit tu kwa malipo ya $0.03 kwa kazi, ni dakika tu una-like unapewa chako. Kwa siku nilikuwa napiga tasks 50. Hiyo ni $10 (easy money) kwa wiki. Zipo kazi zinazolipa zaidi ni wewe tu na muda wako.

Mtaji ni smartphone yako, bando na muda mchache tu, hutumii nguvu nyingi. Tangu walipobadilisha kuwa SproutGigs sijaitumia, hizo kazi zinafaa kwa wale wasio na mishe ya kufanya kabisa. $10 kwa wiki ni nyingi kwasababu bado ni mwanachuo.

Njia za malipo ni rahisi tu, mimi nilikuwa natoa kupitia Skrill kwenda 1xBet halafu natoa kwa wakala wa 1xBet. Ukitoa usiku, asubuhi unakutana na email ya maokoto kwenye Skrill yako.
 
Kama upo dodoma njoo nikupe mchongo elf 7000 kwa lisaaa ila utamenyeka mbaya mbovu


Kaz hyo utapiga siyo Zaid ya masaa matatu. Tu
Kazi gani 7,000 lisaa watu wanaihenyea masaa 12 hio tena kwa kazi za shuruba kazi za enzi utumwa kubebeshana pembe za Ndovu na minyororo shingoni wakati kuna mwamba kakaa ofisini kazi yake kusaini tu makaratasi kwa mwezi anakunja Million 45/48/50
 
Habarini wana JF

Mimi ni kijana ni Mwanachuo kwa sasa nipo likizo. Nahitaji msaada wa kupata kibarua chochote kipind hiki cha miezi miwili

Posho hata ikiwa elfu tatu kwa siku ni sawa.

contact: 0621554787
Maelezo yako hayajitoshelezi

Ongeza ongezea maelezo, sema jinsia yako,mahali unapoishi, umri wako ,unasoma course gani , ngazi ipi nk
 
Back
Top Bottom