Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleni sana,
Lakini tujuzeni ni katika mazingira gani? Maana hali halisi ya nchi yetu tumefikia mahali hata maadili ya hao wanavyuo wetu nayo saa nyingine yanatia maudhi kwani baadnhi yao huwazidi hata wale changudoa proffessionals,na hayastahili kufanywa na wasomi tarajiwa.
My take ni kwamba mnapopata nafasi za masomo ya juu basi ni vema kuzingatia kilichokupeleka pale na si vinginevyo,msipofuata hayo matokeo yake ndio haya majuto
RIP marehemu
Kuna hizi tetesi nimezipata muda si mrefu kuwa, kuna Mwanafunzi wa SJUT amebakwa na kufariki. Hii imekaaje wadau?
Poleni sana,
Lakini tujuzeni ni katika mazingira gani? Maana hali halisi ya nchi yetu tumefikia mahali hata maadili ya hao wanavyuo wetu nayo saa nyingine yanatia maudhi kwani baadnhi yao huwazidi hata wale changudoa proffessionals,na hayastahili kufanywa na wasomi tarajiwa.
My take ni kwamba mnapopata nafasi za masomo ya juu basi ni vema kuzingatia kilichokupeleka pale na si vinginevyo,msipofuata hayo matokeo yake ndio haya majuto
RIP marehemu
Siyo mbaya kwani itasaidia wengine kujifunza na kuwa waangalifu wa afya zao..! Nina uhakika mazingira yake si sawa na yale ya madenti wa ifm waliolawitiwa huku wamewekea bastola kichwani..!
....huenda pia alizinguana na mtu huwezi kujua bhana hivi visichana vyuoni siku hizi havieleweki hata kidogo.Hii hutokana na mahusiano mabaya kati ya wanafunzi na wanajamii waliopo maeneo ya vyuoni,ni matokeo ya magomvi,wivu na chuki kati ya hayo makundi mawili.Uongoz wa vyuo wawe na program za ujirani mwema kati ya wanafunzi na jamii inayowazunguka kuepusha hali kama hiyo kutokea.
Poleni sana,
Lakini tujuzeni ni katika mazingira gani? Maana hali halisi ya nchi yetu tumefikia mahali hata maadili ya hao wanavyuo wetu nayo saa nyingine yanatia maudhi kwani baadnhi yao huwazidi hata wale changudoa proffessionals,na hayastahili kufanywa na wasomi tarajiwa.
My take ni kwamba mnapopata nafasi za masomo ya juu basi ni vema kuzingatia kilichokupeleka pale na si vinginevyo,msipofuata hayo matokeo yake ndio haya majuto
RIP marehemu
....huenda pia alizinguana na mtu huwezi kujua bhana hivi visichana vyuoni siku hizi havieleweki hata kidogo.