Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna daktari bingwa tena baba yake alikuwa daktari mashuhuri muhimbili one of the best doctors kuwahi kutokea Tanzania na huyu kijana kamrithi baba yake na kasoma urusiHawa ndio baadae wanakuja kuwa viongozi au watendaji watumishi unagemea nini hapo..Niliishi hii nchi kwa umri wangu sasa lakini huku tunakoelekea taifa litakuwa na vichaa wengi sana
Thats snitching fam,awataje ili iweje?Na mbaya zaidi amesema atawataja wanafunzi eateja aliokuwa anawauzia cha Arusha...Daah maskini pusha wa watu
Bangi huwa vile unavyoitaka iwe.Kuna daktari bingwa tena baba yake alikuwa daktari mashuhuri muhimbili one of the best doctors kuwahi kutokea Tanzania na huyu kijana kamrithi baba yake na kasoma urusi
Lakini anavuta bangi hatari ,ukiingia kwenye gari lake ni kama vile upo Jamaica
Na kabla ya kufanya operation lazima apige misokoto yake kadhaa ya bangi ,halafu ni genius sana
Usishangae sana kuhusu bangi
Wale mapoti walimpiga biti nadhani akajaa upepo ndio maanaThats snitching fam,awataje ili iweje?
Fadhili chambo ndo naniDaaah ila misuli ya MD sishangai kukamatwa na hiyo midude ....akumbukwe fadhili chambo PCM 2008 .ova
Mwanachuo anakuajeHuyo sio mwanachuo ni muhuni tu
Tatizo la hii nchi ni watu kujihusisha na mambo ya kipumbavu kuliko ya msingi.
Siku nyingine ikitokea hujaelewa post yangu usini-quote.Kwa hiyo bangi ni jambo la msingi katika maendeleo ya Tanzania? Wacha kubugia unga kijana.