Mwanadada amejiua baada ya kutumia pesa zake nyingi kumgharamia boyfriend wake ahamie Marekani watafute maisha wote

Mwanadada amejiua baada ya kutumia pesa zake nyingi kumgharamia boyfriend wake ahamie Marekani watafute maisha wote

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Mwanadada huyo wa nchini Cameroon aliyekuwa anaishi Marekani amefariki kwa kujiua baada ya kutumia pesa zake nyingi kumtoa boyfriend wake nchini Cameroon kumgharamia ahamie Marekani watafute maisha wote.

kameruni.jpg

Kilichotokea baada ya kipindi flani walikwaruzana kidogo na muda haukupita jamaa akaanza kubadilika kisha taarifa zikamfikia mdada huyo kuwa boyfriend wake ambaye bado ni kijana ametangaza kuoa mwanamke mwingine tarehe 3 June mwaka huu ndipo kwa mshtuko mdada huyo akajiua kutokana na kutumia pesa zake nyingi kwa upendo kumgharamia mwanaume wake awe na maisha mazuri ila amemgeuka bila kutarajia.

Mdada huyo alikuwa anaishi Maryland, Marekani na kifo chake kimeibua simanzi kwa wanaomfahamu ambao wamejitosa kuomboleza hadi mtandaoni.
 
Waafrika ni nyani sana . Umefika marekani unahangaika na nyani wa Afrika? Thubutu!
Nikiamua kukubaliana na wewe kwamba wewe muafrika ni nyani, Je ukifika huko Marekani ndio unyani wako unakutoka?

Unashauri huyo nyani asihangaike na nyani mwenzake wa Afrika baada ya kufika marekani, una uhakika hao wamarekani wanaweza kuwa na mahusiano na wewe nyani wa Afrika uliyezamia kule?
 
Hamna cha boifrendi hapo ni Tapeli linalotumia nguvu za shetani.

Sababu alishafahamu moyo wa huyo bi dada.. Ila atakae haribikiwa ni yeye maana atalipwa sawa sawa na kipimo alichompimia. Na atatamani aikimbie Dunia na ulimwengu.
 
Nikiamua kukubaliana na wewe kwamba wewe muafrika ni nyani, Je ukifika huko Marekani ndio unyani wako unakutoka?

Unashauri huyo nyani asihangaike na nyani mwenzake wa Afrika baada ya kufika marekani, una uhakika hao wamarekani wanaweza kuwa na mahusiano na wewe nyani wa Afrika uliyezamia kule?
Kuna watu weusi wanajidharau saana na kuwaona wazungu ni Miungu, muonee huruma tu😂😂😂. Hajui thamani yake.
 
Hamna cha boifrendi hapo ni Tapeli linalotumia nguvu za shetani.

Sababu alishafahamu moyo wa huyo bi dada.. Ila atakae haribikiwa ni yeye maana atalipwa sawa sawa na kipimo alichompimia. Na atatamani aikimbie Dunia na ulimwengu.
Kwahiyo nahawadada zote wanaturogaga au sio😂😂😂, halafu mbona wanawake siwaoni wakiharibikiwa na wamesomeshwa mwanzo mwisho😂😂😂😂. Acha kulaani watu, siwajibu wako, ni Muumba pekee anayeweza. Mbona mimi sijalaani na yupo anadunda😂😂😂
 
Back
Top Bottom