Mwanadada mrembo, nisha ghimire, na kifo chake cha huzuni na upweke kitandani

Hivi ikitokea mtu yupo katika chronic stage hawezi pewa kasindano kakumrudisha tu kwa sir God kuepusha kuendelea kuteseka na maumivu?

Au kidini ni dhambi ya kujiua kuyaruhusu hayo?
Aroo wewe
Mboni kuwaza ivo

Usiombe kuuguza mgonjwa ambaye ni mtu wa karibu na muhimu. Unakuwa na imani kuwa labda kesho atainuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…