Mwanadada mwalimu soma hapa

mdeki

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
3,299
Reaction score
475
Mwanadada mwalimu unatafutwa sana na mimi mwl mwenzio pengine mambo yakiwa sawa tutakuwa tunafarijiana kwa kudhalauliwa na serikali yetu sikivu, chonde mwenye sifa hiyo ya udada unakaribishwa ingia mzimamzima

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Unafundsha shule gani dada yagu?
 
Haya ma ticha mshindwe wenyewe... Mfariji huyoooo.... Kila la heri ndugu yangu..!!
 
Ahahahaa.Sasa inabidi umpate wa TRA ili upunguze machungu na u balance equation.
 
Duuh, sasa nimeanza kukubaliana na ile thread ya jamaa mmoja aliyoitoa huku akisema kua wanaume wengi wanapendelea kuoa wadada ambao ni walimu,
 
Sasa mwalimi mwenzangu kwa hali hii sirikali juu yetu dah! life litazidi kuwa tough tu!!!
 
Hahahaha.
Pengine atakua ame'GOOGLE'akakuta wewe ni demu lol!

Huwezigoogle Tanzania alafu ukute iko uswisi we amimu nini?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…