Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
toka watumbue vyeti feki mkuu naona unashinda humu tuuNgoja waje
Daah mwanangu acha tu, nitatoa wapi stress sasa..kilevi changu ni JF mkuutoka watumbue vyeti feki mkuu naona unashinda humu tuu
Yuko likizotoka watumbue vyeti feki mkuu naona unashinda humu tuu
dah sema mkuu hunaga noma na mtu ngoja nikuanzishie kasredDaah mwanangu acha tu, nitatoa wapi stress sasa..kilevi changu ni JF mkuu
nimekuona brooh..dah sema mkuu hunaga noma na mtu ngoja nikuanzishie kasred
Basi ntanunuuaa kuanzia magauni, handbags hadi viatuKuna siku nilitaka kuuliza ni mimi tu au na wengine ni hivyo hivyo? Mimi mdada yoyote akivaa chui chui namtamani vibaya sana!
Nooooo....just a figure-hugging gown....!Basi ntanunuuaa kuanzia magauni, handbags hadi viatu
Alafu nyingi zinawabana kinoma...yaani ramani nzima ya africa unaiona ikichanganywa na zile mistari ya chuichuiKila mwana dada niliyewahi kumuona kavaa lile gauni la madoa ya chui chui alikuwa amependeza maana gauni lilimkaa fresh.
Nikawaza iwapo kuna binti ambaye gauni hili halijawahi kumpendeza, sidhani kama kuna nguo nyingine yeyote itakayo mpendeza....
View attachment 511413 View attachment 511411
Hehehe ili uone goodies vzuri ehhh,Nooooo....just a figure-hugging gown....!