Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
swaga za zamani sana hizoKuna siku nilitaka kuuliza ni mimi tu au na wengine ni hivyo hivyo? Mimi mdada yoyote akivaa chui chui namtamani vibaya sana!
miaka hii kuna watu bado wanavaame napenda chui chui sana aisee
Kwa nyie mnaovaa kufuata mkumbo.swaga za zamani sana hizo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Mwanamke anayejitambua hawezi vaa chui chui hizo ni nguo za malaya tu na hilo lipo wazi dunia nzima..
mm mmoja wapo navaaa napenda sana nikikutana na chui nimeipenda lazima niinunuemiaka hii kuna watu bado wanavaa
kapicha basi ukiwa na chui chui 😉mm mmoja wapo navaaa napenda sana nikikutana na chui nimeipenda lazima niinunue
cheki Avatar Mkuu.kapicha basi ukiwa na chui chui 😉
Siku ukivaa ninong'oneze unapita mitaa gani...mm mmoja wapo navaaa napenda sana nikikutana na chui nimeipenda lazima niinunue
haaha sawa RRONDOSiku ukivaa ninong'oneze unapita mitaa gani...
[emoji2] angalia avatar yangukapicha basi ukiwa na chui chui 😉
Kama hiyo avatar ndio wewe mwenyewe aisee basi wakubwa wanafaid[emoji2] angalia avatar yangu
Mkuu umetisha hii coment yako imenchekesha sana,. So jamaa ni wale wa vyeti fekero co[emoji23][emoji23][emoji23]toka watumbue vyeti feki mkuu naona unashinda humu tuu