Undercover_Bot
JF-Expert Member
- May 8, 2018
- 416
- 414
utata kivipi ebu fafanua kidogokuna mda huwa nadhani kuwa elimu ya kiroho ndio elimu nguli zaidi na ambayo ni ya uhakika zaidi lakin tatizo lake ni moja tu uthibitisho wake siku zote unakuwa na utata kuliko elimu yetu hii ya kisayansi
kwa mfano unaambiwa mungu yupo mbinguni? halafu wanasayansi wanasema akuna mungu juu ya anga kuna sayari uoni utata huo japo nikupata kamfano kadogo tuutata kivipi ebu fafanua kidogo
Life is simulation...it is the matrix likeDunia ilivyo na vituko na maswali yasiyo na majibu,ukimuuliza muhadzabe hayo mambo hakuna analolifaam hata moja na haegami pande yoyote anakula zake mizizi na maisha yanasonga, WORLD LIFE IS GAME WHO CREATE THIS GAME?!!
Kuna wapuuzi wanatuchora pembeni sisi tunachezewa.Life is simulation...it is the matrix like
kabsaa mkuu 😀 😀 🙂 yani washenzi snaaKuna wapuuzi wanatuchora pembeni sisi tunachezewa.
Ndo maana sayansi na mambo Mungu havikai pamojakwa mfano unaambiwa mungu yupo mbinguni? halafu wanasayansi wanasema akuna mungu juu ya anga kuna sayari uoni utata huo japo nikupata kamfano kadogo tu
hiki kitu ndo kinatufanya pia tusiumuze bongo zetuKuna wapuuzi wanatuchora pembeni sisi tunachezewa.
Tunasaau vitabu japo vimo na humo ila inawia ugumu kuvisoma.hiki kitu ndo kinatufanya pia tusiumuze bongo zetuView attachment 858459
hii noma sana ..natamani nije niitolee maelezo lakini naomba nisiingilie uzi wa watu..Kuna uhusiano na theory of parallel universe?
Braza samahani tuchekiane wasap my number +1 (203) 990-5783hii noma sana ..natamani nije niitolee maelezo lakini naomba nisiingilie uzi wa watu..
mkuuBraza samahani tuchekiane wasap my number +1 (203) 990-5783
Everything is connected...life s the matrix..somebody(people) are controlling us..Tunasaau vitabu japo vimo na humo ila inawia ugumu kuvisoma.