Mwanadamu ata-survive kwa muda gani kama kukitokea janga hatari duniani kote..?

Mwanadamu ata-survive kwa muda gani kama kukitokea janga hatari duniani kote..?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Wakati wowote janga lolote baya linaweza kutokea na kutukumba hapa duniani,kila taifa na jamii itapambana kwa kadri iwezavyo.

Najua akina sie huku hatutachukua muda tutapukutika kama pori lililoshika moto!.

Mfano wa majanga hayo yanayoweza kutokea ni kama dunia kuangukiwa na kimbuka kikubwa!, au ugonjwa mkali unaoweza kupukutisha watu ama majanga ya mionzi mikali Kama ya nyuklia na kadharika!.

Kwa upande wa nchi yetu sidhani Kama tuna hata sehemu za hifadhi "banker" au tuite "Ark" japo mambo haya huwa ni siri sana!

Hapa sizungumzii nchi yetu bali human race kwa ujumla,maana majanga mengine yanaweza hata kuja kuchukua miaka hata 30 ama zaidi au hata ikawa chini ya hapo mpk dunia kurudi ktk uhalisia wake na maisha kuwa kawaida!.

Sasa je,sisi kama sisi tunauwezo wa muda gani wa kuweza kuhimili majanga makubwa na ya muda mrefu pasipo kuitegemea dunia?

Nini kipo nyuma juu ya kulinda human race endapo kukitokea majanga makubwa Kama haya?

Na vipi kuhusu nchi yetu imejidhatiti vipi kwenye hili?

Nimechokoza,karibuni kwa mjadala.
 
mental-picture ya realistically maana ya majanga makubwa yakitokea duniani itakuwaje kiuhalisia.
Kwanza serikali zote dunia nzima hazina uwezo wa kuhifadhi population yote ya watu wake kama kutatokea janga la hatari sana, hizi dhana za nguvu na uwezo wa serikali zetu Mara zote zinakuwa ni fikra zetu tu, kuwa serikali italinda watu na kuhudmia watu au kuna mabanka ya Kukimbilia na vitu kama hivyo ni fikra tu sio uhalisi, serikali za kidunia zinaweza kulinda na kuhifadhi kwa kiasi flani kama kuna vita vya nchi na nchi au mambo madogo madogo tu

Kwa hio ikitokea kuna Janga kubwa kama maradhi yanayopukutisha watu kama ngumbi kwanza serikali zote duniani zita-tathmini hali ilivyo na wakijua kuwa hakuna uwezo wa kulinda na kuhifadhi watu wanafanya maamuzi magumu, hatua za mwanzo ni kufungia watu kwa maeneo na matabaka,kutakuwa na lockdowns za kitabaka na kimaeneo,nchi zote zitafanya hivyo haraka sana.
Watu muhimu wote na familia zao wavutwa sehemu yenye ulinzi mkali sana na hio sehemu wataipa jina na watu walobakia watafungiwa katika maeneo yao na kusubiri hatma yao iwafikie huko waliko.Katika majanga makubwa serikali za kidunia zinaweza kuokoa watu wasiozidi asilimia 10 ya population ya nchi zao
Haraka sana mihimili yote ya kiserikali na kinchi na nguvu za kidola zitaanguka,hakutakuwa na sheria wala order ya aina yeyote, cha hatari ni kuwa dunia nzima watu wamefunzwa kuwa wategemezi wa serikali na viongozi, kwa hio watu watachanganyikiwa ndani ya masaa sita tu na baada ya hapo watu wataingia katika survival mode,katika survival mode binadamu anakuwa kama mnyama ana uwezo wa kufanya chochote ili aweze ku-survive, na hapo baada ya masaa 12 tu nchi zote zinaingia kwenye taharuki kubwa sana, watu wanamalizana wenyewe kwa wenyewe panic inaanza kupunguza watu hataka sana. Watu wanaoishi miji mikuu ndio watamalizika kwasababu utegemezi wao wa huduma za kiserikali ni mkubwa sana,miji mikuu itakauka ndani ya siku 30, watu wa vijijini wanauwezo wa kujikimu na kujihimili kwa muda mrefu kidogo, lakini kila muda ukizidi watafikiwa na majanga.
Kiuhalisia katika maisha yetu ya kawaida sisi binadamu tunaishi katika hali ya maigizo tu,hatujijui na hatujafunzwa hali halisi na reaction zetu za kiuhalisia zitakuwaje katika hali za hatari na vipi tunaweza kujiokoa au kuji-control. Ni kama vile ukiwa tajiri na kuwazoesha watoto mambo mazuri tu ikitokea utajiri ukakoma kwa ghafla panic inaanza kuitafuna familia haraka sana.
 
Hili suala nimeliwaza pia Mungu atusaidie tu kwa Africa sidhani kama maandalizi yapo,,,,hawa wazungu wapuuzi kweli,wameichoka dunia wanataka kuiharibu wakimbie washindwe,wao wenyewe watakufa
 
mental-picture ya realistically maana ya majanga makubwa yakitokea duniani itakuwaje kiuhalisia.
Kwanza serikali zote dunia nzima hazina uwezo wa kuhifadhi population yote ya watu wake kama kutatokea janga la hatari sana, hizi dhana za nguvu na uwezo wa serikali zetu Mara zote zinakuwa ni fikra zetu tu, kuwa serikali italinda watu na kuhudmia watu au kuna mabanka ya Kukimbilia na vitu kama hivyo ni fikra tu sio uhalisi, serikali za kidunia zinaweza kulinda na kuhifadhi kwa kiasi flani kama kuna vita vya nchi na nchi au mambo madogo madogo tu

Kwa hio ikitokea kuna Janga kubwa kama maradhi yanayopukutisha watu kama ngumbi kwanza serikali zote duniani zita-tathmini hali ilivyo na wakijua kuwa hakuna uwezo wa kulinda na kuhifadhi watu wanafanya maamuzi magumu, hatua za mwanzo ni kufungia watu kwa maeneo na matabaka,kutakuwa na lockdowns za kitabaka na kimaeneo,nchi zote zitafanya hivyo haraka sana.
Watu muhimu wote na familia zao wavutwa sehemu yenye ulinzi mkali sana na hio sehemu wataipa jina na watu walobakia watafungiwa katika maeneo yao na kusubiri hatma yao iwafikie huko waliko.Katika majanga makubwa serikali za kidunia zinaweza kuokoa watu wasiozidi asilimia 10 ya population ya nchi zao
Haraka sana mihimili yote ya kiserikali na kinchi na nguvu za kidola zitaanguka,hakutakuwa na sheria wala order ya aina yeyote, cha hatari ni kuwa dunia nzima watu wamefunzwa kuwa wategemezi wa serikali na viongozi, kwa hio watu watachanganyikiwa ndani ya masaa sita tu na baada ya hapo watu wataingia katika survival mode,katika survival mode binadamu anakuwa kama mnyama ana uwezo wa kufanya chochote ili aweze ku-survive, na hapo baada ya masaa 12 tu nchi zote zinaingia kwenye taharuki kubwa sana, watu wanamalizana wenyewe kwa wenyewe panic inaanza kupunguza watu hataka sana. Watu wanaoishi miji mikuu ndio watamalizika kwasababu utegemezi wao wa huduma za kiserikali ni mkubwa sana,miji mikuu itakauka ndani ya siku 30, watu wa vijijini wanauwezo wa kujikimu na kujihimili kwa muda mrefu kidogo, lakini kila muda ukizidi watafikiwa na majanga.
Kiuhalisia katika maisha yetu ya kawaida sisi binadamu tunaishi katika hali ya maigizo tu,hatujijui na hatujafunzwa hali halisi na reaction zetu za kiuhalisia zitakuwaje katika hali za hatari na vipi tunaweza kujiokoa au kuji-control. Ni kama vile ukiwa tajiri na kuwazoesha watoto mambo mazuri tu ikitokea utajiri ukakoma kwa ghafla panic inaanza kuitafuna familia haraka sana.
Umeandika kwa mapana mkuu Ahsante.. kuhusu swala la kusaidia watu wote hilo ni dhahiri halitawezekana na hata hao watakaoingia kwenye mabanker lazima watakuwa watu muhimu na wenye fani zao pamoja na afya njema! Zipo sifa maalum.

Mpk hapa tulipofikia ni muhimu sana kuyatambua mambo haya na umuhimu wa kuzingatia maisha ya kuwa very intelligent!.

Nimeona umegusia maswala ya uongozi bila Shaka kipo kitu unafahamu hadaa za kiuongozi! Hili tuliache kiporo mada yake itakuja.
 
ndio maana elon musk anapambania sana issue ya Mars akijua ipo siku dunia haitokalika . hakuna mtu wala serikali itakayoweza kudhibiti chochote only survive for the fittest ndio kitu twaweza kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuamia mars ni mziki mzito sidhani Kama jamaa anaweza peke yake na Kama binadamu atakuja kuweza kuishi maeneo mengine na dunia isiharibike basi jua dunia itakuja kuwa moja Kati ya sehemu ya kihistoria kuwahi kutokea!.. namaanisha dunia nzima itajaa utalii.
 
Hizo siku lazima zije na kuhusu kusurvive hilo ondoa shaka maana dunia haijaanza kuwa na majanga makubwa leo wala jana.

Kuna matukio makubwa yaliyowai ikumba dunia na kubeba mamilioni ya maisha ya watu lkn uhai lazma uwepo tu, na hiyo ndyo NATURE ya Dunia kulinda maisha ya species mbalimbali wasiweze kutoweka wote no matter what happened lazima maisha yabaki.
hata kama walimwengu woote tukaumia kwa mabomu ya kinyuklia hatutaweza kupotea wote, lazma kuna kizaz hata cha weak people kitazaliwa baadae ambacho kitakuwa mbadara wetu japo nacho kitakuwa kimebeba madhaifu fulan tokana na maswahibu yaliyopita, Ushahidi ni huko Nagasaki& Hiroshima bado maisha yapo japokuwa wale waliodhurika mpka sas wana generation ya wanadamu walio na madhaifu fulan fulani.

na kwa bahat mbaya tupo ktk nyakat hizo ngumu na hatari..

Hatar yake ni kwamba watu wamejisahau sana kwa kuzani dunia ni sehemu safe na hawana mipango yoyote juu ya future itakuwaje.

Ktk mataifa makubwa wao wanajua nn kitakuja kutokea ndiomaana tunawaona kila siku wakibuni mbinu za kusave raia wao kwenda kuishi nje ya dunia kama hapa hapatokuwa safe.

Pia wamejipanga kwa mapambano na mashambuliz dhid ya maadui,

Ninaposema maadui namaanisha kuwa vita ya3 ya dunia kama itatokea wao wamejipanga kwa kupambana na wale wasio wa milengo yao,

pia adui mwingine ni wa nadharia, yaan aliens invasion& AI Robotics wars,

Ambapo ktk nadharia hizi wao husema kuwa inaweza tokea siku kulingana na maendeleo ya technology kunaweza kutokea perishable/interference into artificial intelligence ambazo zimekuwa zikiundwa kwa ajili ya kucontrol machines mbalimbali , vifaa na mifumo yote ya mawasiliano na siraha, sasa kutokana na uvamizi wa programs haribifu(viruses) ktk fikra bandia hizo za machines na kupelekea kufanya matendo ya kiutofaut na commands zilizowekewa na mwanadamu AI hizo zifanye kazi zinaweza kuleta madhara makubwa dunian.

Na ktk vita hivi, itakuwa ngumu sana kwa mwanadamu kupambana na hawa robot waliokwisha affectiwa na viruses ama kuwa controlled na watu waovu ambapo itahitajika misaada ya kuunda ant-viruses za kuuwa programs hizo endeshi kinyume na commands, pia kukimbia mazingira hatarishi ambapo mifumo tambuzi ya hawa roboti inaweza mdhuru mwanadamu.

Kiufupi naposema AI kwa kwa lugha gongana namaanisha AI is the ability of a machine to display human-like capabilities such as reasoning, learning, planning and creativity, AI enables technical systems to perceive their environment, deal with what they perceive, solve problems and act to achieve a specific.

Mifano ya hiyo machines learning (robots& duties)

Image recognition. Image recognition is a well-known and widespread example of machine learning in the real world. ...

Speech recognition. Machine learning can translate speech into text. ...

Medical diagnosis

Statistical arbitrage.

Predictive analytics.

Na hizo ni baadhi ya mifumo na fikra bandia ambazo husetiwa ktk hizo robot kudetect hali kulingana na kazi zake, wapo robot multi-Duties yaan wanaofanya kazi zaid ya moja na hawa huwekewa mifumo tambuzi ya aina tofaut tofaut ili kukidhi matakwa, pia wapo robot single purpose ambao huwa na mfumo tambuzi bandia wa aina moja ambao hudili na kazi moja tuu.

Kazi za maroboti hao ni nyingi sana, inaweza kuwa ktk mapishi kwnye migahaw na mahotelin, mahospitalin ktk kufanya upasuaji, kutunza madawa, kugundua aina za magonjwa, kupima wagonjwa.

Pia kuna robot hawa wanao husika na mitandao ambao kaz zao ni ulinz wa data za watumiaj pia wengine hutumika kwa ajili ya upelelezi na udukuzi wa data za walengwa.

Pia kuna hawa robot ambao hutengenezwa just for funny mfano huyo robot sofia aliyetengenezwa kama mwanadamu ambaye anaweza kuwa kama rafiki kwa mtu kupiga nae story,kufanya urafiki na kushare nae Mambo mbalimbali huyo nae ni aina ya multi-duties AI machine.

Kuna mifano mingi ya marobot ambao tyr wapo kazin [emoji116]
Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Piaggio Fast Forward’s AI robot acts as an extra set of hands. Are your groceries too heavy? Maybe you just can’t carry all your workout gear? Piaggio’s Gita robot uses AI to follow its owner close behind, acting as a versatile, hands-free carrier.

Perceptive Automata

Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Perceptive Automata uses machine learning to help autonomous vehicles with one of the most important parts of their jobs- predicting human behavior. Most autonomous vehicles are currently rigid in their driving capabilities, meaning that they drive conservatively and sometimes counterintuitively to human behavior. Perceptive Automata’s AI robot technology is constantly teaching autonomous vehicles about human behavior and showing cars how to operate safely in a human driver-dominated world.

Sasa robot hawa wanakuwa useless na dangerous pale wanapofanya kazi tofaut na maagizo waliyowekewa ktk mifumo yao tambuzi& endeshi mfano robot wa kutibu wagonjwa akaanza kufanya mamboo kinyume na maelekezo, pia robots wa kucontrol siraha za kinyuklia wanapokuwa attacked by viruses au kufikiwa na mikono ya watu wabaya kwa kuanza kutenda matendo kinyume na sheria walizowekewa.

Kuna mengi kuhusu haya mambo siwez elezea sana lkn hawa watu wa nchi zikizoendelea wamejipanga vzur kudeal na haya mambo pale yaendapo vibaya.

Huku kwetu tupo bize kubishania mambo yakipumbv tu.




1640941422096.jpg
 
Hizo siku lazima zije na kuhusu kusurvive hilo ondoa shaka maana dunia haijaanza kuwa na majanga makubwa leo wala jana.

Kuna matukio makubwa yaliyowai ikumba dunia na kubeba mamilioni ya maisha ya watu lkn uhai lazma uwepo tu, na hiyo ndyo NATURE ya Dunia kulinda maisha ya species mbalimbali wasiweze kutoweka wote no matter what happened lazima maisha yabaki.
hata kama walimwengu woote tukaumia kwa mabomu ya kinyuklia hatutaweza kupotea wote, lazma kuna kizaz hata cha weak people kitazaliwa baadae ambacho kitakuwa mbadara wetu japo nacho kitakuwa kimebeba madhaifu fulan tokana na maswahibu yaliyopita, Ushahidi ni huko Nagasaki& Hiroshima bado maisha yapo japokuwa wale waliodhurika mpka sas wana generation ya wanadamu walio na madhaifu fulan fulani.

na kwa bahat mbaya tupo ktk nyakat hizo ngumu na hatari..

Hatar yake ni kwamba watu wamejisahau sana kwa kuzani dunia ni sehemu safe na hawana mipango yoyote juu ya future itakuwaje.

Ktk mataifa makubwa wao wanajua nn kitakuja kutokea ndiomaana tunawaona kila siku wakibuni mbinu za kusave raia wao kwenda kuishi nje ya dunia kama hapa hapatokuwa safe.

Pia wamejipanga kwa mapambano na mashambuliz dhid ya maadui,

Ninaposema maadui namaanisha kuwa vita ya3 ya dunia kama itatokea wao wamejipanga kwa kupambana na wale wasio wa milengo yao,

pia adui mwingine ni wa nadharia, yaan aliens invasion& AI Robotics wars,

Ambapo ktk nadharia hizi wao husema kuwa inaweza tokea siku kulingana na maendeleo ya technology kunaweza kutokea perishable/interference into artificial intelligence ambazo zimekuwa zikiundwa kwa ajili ya kucontrol machines mbalimbali , vifaa na mifumo yote ya mawasiliano na siraha, sasa kutokana na uvamizi wa programs haribifu(viruses) ktk fikra bandia hizo za machines na kupelekea kufanya matendo ya kiutofaut na commands zilizowekewa na mwanadamu AI hizo zifanye kazi zinaweza kuleta madhara makubwa dunian.

Na ktk vita hivi, itakuwa ngumu sana kwa mwanadamu kupambana na hawa robot waliokwisha affectiwa na viruses ama kuwa controlled na watu waovu ambapo itahitajika misaada ya kuunda ant-viruses za kuuwa programs hizo endeshi kinyume na commands, pia kukimbia mazingira hatarishi ambapo mifumo tambuzi ya hawa roboti inaweza mdhuru mwanadamu.

Kiufupi naposema AI kwa kwa lugha gongana namaanisha AI is the ability of a machine to display human-like capabilities such as reasoning, learning, planning and creativity, AI enables technical systems to perceive their environment, deal with what they perceive, solve problems and act to achieve a specific.

Mifano ya hiyo machines learning (robots& duties)

Image recognition. Image recognition is a well-known and widespread example of machine learning in the real world. ...

Speech recognition. Machine learning can translate speech into text. ...

Medical diagnosis

Statistical arbitrage.

Predictive analytics.

Na hizo ni baadhi ya mifumo na fikra bandia ambazo husetiwa ktk hizo robot kudetect hali kulingana na kazi zake, wapo robot multi-Duties yaan wanaofanya kazi zaid ya moja na hawa huwekewa mifumo tambuzi ya aina tofaut tofaut ili kukidhi matakwa, pia wapo robot single purpose ambao huwa na mfumo tambuzi bandia wa aina moja ambao hudili na kazi moja tuu.

Kazi za maroboti hao ni nyingi sana, inaweza kuwa ktk mapishi kwnye migahaw na mahotelin, mahospitalin ktk kufanya upasuaji, kutunza madawa, kugundua aina za magonjwa, kupima wagonjwa.

Pia kuna robot hawa wanao husika na mitandao ambao kaz zao ni ulinz wa data za watumiaj pia wengine hutumika kwa ajili ya upelelezi na udukuzi wa data za walengwa.

Pia kuna hawa robot ambao hutengenezwa just for funny mfano huyo robot sofia aliyetengenezwa kama mwanadamu ambaye anaweza kuwa kama rafiki kwa mtu kupiga nae story,kufanya urafiki na kushare nae Mambo mbalimbali huyo nae ni aina ya multi-duties AI machine.

Kuna mifano mingi ya marobot ambao tyr wapo kazin [emoji116]
Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Piaggio Fast Forward’s AI robot acts as an extra set of hands. Are your groceries too heavy? Maybe you just can’t carry all your workout gear? Piaggio’s Gita robot uses AI to follow its owner close behind, acting as a versatile, hands-free carrier.

Perceptive Automata

Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Perceptive Automata uses machine learning to help autonomous vehicles with one of the most important parts of their jobs- predicting human behavior. Most autonomous vehicles are currently rigid in their driving capabilities, meaning that they drive conservatively and sometimes counterintuitively to human behavior. Perceptive Automata’s AI robot technology is constantly teaching autonomous vehicles about human behavior and showing cars how to operate safely in a human driver-dominated world.

Sasa robot hawa wanakuwa useless na dangerous pale wanapofanya kazi tofaut na maagizo waliyowekewa ktk mifumo yao tambuzi& endeshi mfano robot wa kutibu wagonjwa akaanza kufanya mamboo kinyume na maelekezo, pia robots wa kucontrol siraha za kinyuklia wanapokuwa attacked by viruses au kufikiwa na mikono ya watu wabaya kwa kuanza kutenda matendo kinyume na sheria walizowekewa.

Kuna mengi kuhusu haya mambo siwez elezea sana lkn hawa watu wa nchi zikizoendelea wamejipanga vzur kudeal na haya mambo pale yaendapo vibaya.

Huku kwetu tupo bize kubishania mambo yakipumbv tu.




View attachment 2105769
sasa mkuu hiyo picha inahusiana vipi na ulichoandika au umeamua tu kukashfu imani za watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wowote janga lolote baya linaweza kutokea na kutukumba hapa duniani,kila taifa na jamii itapambana kwa kadri iwezavyo.

Najua akina sie huku hatutachukua muda tutapukutika kama pori lililoshika moto!.

Mfano wa majanga hayo yanayoweza kutokea ni kama dunia kuangukiwa na kimbuka kikubwa!, au ugonjwa mkali unaoweza kupukutisha watu ama majanga ya mionzi mikali Kama ya nyuklia na kadharika!.

Kwa upande wa nchi yetu sidhani Kama tuna hata sehemu za hifadhi "banker" au tuite "Ark" japo mambo haya huwa ni siri sana!

Hapa sizungumzii nchi yetu bali human race kwa ujumla,maana majanga mengine yanaweza hata kuja kuchukua miaka hata 30 ama zaidi au hata ikawa chini ya hapo mpk dunia kurudi ktk uhalisia wake na maisha kuwa kawaida!.

Sasa je,sisi kama sisi tunauwezo wa muda gani wa kuweza kuhimili majanga makubwa na ya muda mrefu pasipo kuitegemea dunia?

Nini kipo nyuma juu ya kulinda human race endapo kukitokea majanga makubwa Kama haya?

Na vipi kuhusu nchi yetu imejidhatiti vipi kwenye hili?

Nimechokoza,karibuni kwa mjadala.
Kwani CIA wanasemaje?
 
ndio maana elon musk anapambania sana issue ya Mars akijua ipo siku dunia haitokalika . hakuna mtu wala serikali itakayoweza kudhibiti chochote only survive for the fittest ndio kitu twaweza kusema

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nai rate hii comment kama 80% ya hoja ya mwanzisha uzi, jibu lake lipo hapa
 
Hizo siku lazima zije na kuhusu kusurvive hilo ondoa shaka maana dunia haijaanza kuwa na majanga makubwa leo wala jana.

Kuna matukio makubwa yaliyowai ikumba dunia na kubeba mamilioni ya maisha ya watu lkn uhai lazma uwepo tu, na hiyo ndyo NATURE ya Dunia kulinda maisha ya species mbalimbali wasiweze kutoweka wote no matter what happened lazima maisha yabaki.
hata kama walimwengu woote tukaumia kwa mabomu ya kinyuklia hatutaweza kupotea wote, lazma kuna kizaz hata cha weak people kitazaliwa baadae ambacho kitakuwa mbadara wetu japo nacho kitakuwa kimebeba madhaifu fulan tokana na maswahibu yaliyopita, Ushahidi ni huko Nagasaki& Hiroshima bado maisha yapo japokuwa wale waliodhurika mpka sas wana generation ya wanadamu walio na madhaifu fulan fulani.

na kwa bahat mbaya tupo ktk nyakat hizo ngumu na hatari..

Hatar yake ni kwamba watu wamejisahau sana kwa kuzani dunia ni sehemu safe na hawana mipango yoyote juu ya future itakuwaje.

Ktk mataifa makubwa wao wanajua nn kitakuja kutokea ndiomaana tunawaona kila siku wakibuni mbinu za kusave raia wao kwenda kuishi nje ya dunia kama hapa hapatokuwa safe.

Pia wamejipanga kwa mapambano na mashambuliz dhid ya maadui,

Ninaposema maadui namaanisha kuwa vita ya3 ya dunia kama itatokea wao wamejipanga kwa kupambana na wale wasio wa milengo yao,

pia adui mwingine ni wa nadharia, yaan aliens invasion& AI Robotics wars,

Ambapo ktk nadharia hizi wao husema kuwa inaweza tokea siku kulingana na maendeleo ya technology kunaweza kutokea perishable/interference into artificial intelligence ambazo zimekuwa zikiundwa kwa ajili ya kucontrol machines mbalimbali , vifaa na mifumo yote ya mawasiliano na siraha, sasa kutokana na uvamizi wa programs haribifu(viruses) ktk fikra bandia hizo za machines na kupelekea kufanya matendo ya kiutofaut na commands zilizowekewa na mwanadamu AI hizo zifanye kazi zinaweza kuleta madhara makubwa dunian.

Na ktk vita hivi, itakuwa ngumu sana kwa mwanadamu kupambana na hawa robot waliokwisha affectiwa na viruses ama kuwa controlled na watu waovu ambapo itahitajika misaada ya kuunda ant-viruses za kuuwa programs hizo endeshi kinyume na commands, pia kukimbia mazingira hatarishi ambapo mifumo tambuzi ya hawa roboti inaweza mdhuru mwanadamu.

Kiufupi naposema AI kwa kwa lugha gongana namaanisha AI is the ability of a machine to display human-like capabilities such as reasoning, learning, planning and creativity, AI enables technical systems to perceive their environment, deal with what they perceive, solve problems and act to achieve a specific.

Mifano ya hiyo machines learning (robots& duties)

Image recognition. Image recognition is a well-known and widespread example of machine learning in the real world. ...

Speech recognition. Machine learning can translate speech into text. ...

Medical diagnosis

Statistical arbitrage.

Predictive analytics.

Na hizo ni baadhi ya mifumo na fikra bandia ambazo husetiwa ktk hizo robot kudetect hali kulingana na kazi zake, wapo robot multi-Duties yaan wanaofanya kazi zaid ya moja na hawa huwekewa mifumo tambuzi ya aina tofaut tofaut ili kukidhi matakwa, pia wapo robot single purpose ambao huwa na mfumo tambuzi bandia wa aina moja ambao hudili na kazi moja tuu.

Kazi za maroboti hao ni nyingi sana, inaweza kuwa ktk mapishi kwnye migahaw na mahotelin, mahospitalin ktk kufanya upasuaji, kutunza madawa, kugundua aina za magonjwa, kupima wagonjwa.

Pia kuna robot hawa wanao husika na mitandao ambao kaz zao ni ulinz wa data za watumiaj pia wengine hutumika kwa ajili ya upelelezi na udukuzi wa data za walengwa.

Pia kuna hawa robot ambao hutengenezwa just for funny mfano huyo robot sofia aliyetengenezwa kama mwanadamu ambaye anaweza kuwa kama rafiki kwa mtu kupiga nae story,kufanya urafiki na kushare nae Mambo mbalimbali huyo nae ni aina ya multi-duties AI machine.

Kuna mifano mingi ya marobot ambao tyr wapo kazin [emoji116]
Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Piaggio Fast Forward’s AI robot acts as an extra set of hands. Are your groceries too heavy? Maybe you just can’t carry all your workout gear? Piaggio’s Gita robot uses AI to follow its owner close behind, acting as a versatile, hands-free carrier.

Perceptive Automata

Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Perceptive Automata uses machine learning to help autonomous vehicles with one of the most important parts of their jobs- predicting human behavior. Most autonomous vehicles are currently rigid in their driving capabilities, meaning that they drive conservatively and sometimes counterintuitively to human behavior. Perceptive Automata’s AI robot technology is constantly teaching autonomous vehicles about human behavior and showing cars how to operate safely in a human driver-dominated world.

Sasa robot hawa wanakuwa useless na dangerous pale wanapofanya kazi tofaut na maagizo waliyowekewa ktk mifumo yao tambuzi& endeshi mfano robot wa kutibu wagonjwa akaanza kufanya mamboo kinyume na maelekezo, pia robots wa kucontrol siraha za kinyuklia wanapokuwa attacked by viruses au kufikiwa na mikono ya watu wabaya kwa kuanza kutenda matendo kinyume na sheria walizowekewa.

Kuna mengi kuhusu haya mambo siwez elezea sana lkn hawa watu wa nchi zikizoendelea wamejipanga vzur kudeal na haya mambo pale yaendapo vibaya.

Huku kwetu tupo bize kubishania mambo yakipumbv tu.




View attachment 2105769
Umeeleza vyema mkuu haswa maswala ya artificial intelligence nafikiri lazima kuwe na vyombo vyenye nguvu kusimamia robots zote ziundwe vipi na sheria hizo ziwe kali huku mifumo ya kuendesha robot hizo ziwe na limit..

Katika hizi mambo sehemu watakayokuja kucheza na kumuona binadamu ktk njia ya tofauti ni kuunda robot lenye uwezo wa kutafakari!.😅
Hii ndio password ngumu sana kuwahi kutokea ktk utengenezaji na ikivunjwa hii haloo sipati picha!.

Mashambulizi toka kwa viumbe wengine anga za mbali yanaweza kuwepo ila nachoshukuru nature ishaweka mifumo ya ulinzi maana yenyewe inajua zaidi kuliko sisi.
Hata sisi pia ni sehemu ya ulinzi pia maana chochote kitakachotokea kudhuru mnyama yoyote ama mazingira basi hiyo vita itamuhusu na mwanadamu!.. kwetu sisi kila kitu kina matter!.
 
mental-picture ya realistically maana ya majanga makubwa yakitokea duniani itakuwaje kiuhalisia.
Kwanza serikali zote dunia nzima hazina uwezo wa kuhifadhi population yote ya watu wake kama kutatokea janga la hatari sana, hizi dhana za nguvu na uwezo wa serikali zetu Mara zote zinakuwa ni fikra zetu tu, kuwa serikali italinda watu na kuhudmia watu au kuna mabanka ya Kukimbilia na vitu kama hivyo ni fikra tu sio uhalisi, serikali za kidunia zinaweza kulinda na kuhifadhi kwa kiasi flani kama kuna vita vya nchi na nchi au mambo madogo madogo tu

Kwa hio ikitokea kuna Janga kubwa kama maradhi yanayopukutisha watu kama ngumbi kwanza serikali zote duniani zita-tathmini hali ilivyo na wakijua kuwa hakuna uwezo wa kulinda na kuhifadhi watu wanafanya maamuzi magumu, hatua za mwanzo ni kufungia watu kwa maeneo na matabaka,kutakuwa na lockdowns za kitabaka na kimaeneo,nchi zote zitafanya hivyo haraka sana.
Watu muhimu wote na familia zao wavutwa sehemu yenye ulinzi mkali sana na hio sehemu wataipa jina na watu walobakia watafungiwa katika maeneo yao na kusubiri hatma yao iwafikie huko waliko.Katika majanga makubwa serikali za kidunia zinaweza kuokoa watu wasiozidi asilimia 10 ya population ya nchi zao
Haraka sana mihimili yote ya kiserikali na kinchi na nguvu za kidola zitaanguka,hakutakuwa na sheria wala order ya aina yeyote, cha hatari ni kuwa dunia nzima watu wamefunzwa kuwa wategemezi wa serikali na viongozi, kwa hio watu watachanganyikiwa ndani ya masaa sita tu na baada ya hapo watu wataingia katika survival mode,katika survival mode binadamu anakuwa kama mnyama ana uwezo wa kufanya chochote ili aweze ku-survive, na hapo baada ya masaa 12 tu nchi zote zinaingia kwenye taharuki kubwa sana, watu wanamalizana wenyewe kwa wenyewe panic inaanza kupunguza watu hataka sana. Watu wanaoishi miji mikuu ndio watamalizika kwasababu utegemezi wao wa huduma za kiserikali ni mkubwa sana,miji mikuu itakauka ndani ya siku 30, watu wa vijijini wanauwezo wa kujikimu na kujihimili kwa muda mrefu kidogo, lakini kila muda ukizidi watafikiwa na majanga.
Kiuhalisia katika maisha yetu ya kawaida sisi binadamu tunaishi katika hali ya maigizo tu,hatujijui na hatujafunzwa hali halisi na reaction zetu za kiuhalisia zitakuwaje katika hali za hatari na vipi tunaweza kujiokoa au kuji-control. Ni kama vile ukiwa tajiri na kuwazoesha watoto mambo mazuri tu ikitokea utajiri ukakoma kwa ghafla panic inaanza kuitafuna familia haraka sana.
Naunga hoja
 
Hizo siku lazima zije na kuhusu kusurvive hilo ondoa shaka maana dunia haijaanza kuwa na majanga makubwa leo wala jana.

Kuna matukio makubwa yaliyowai ikumba dunia na kubeba mamilioni ya maisha ya watu lkn uhai lazma uwepo tu, na hiyo ndyo NATURE ya Dunia kulinda maisha ya species mbalimbali wasiweze kutoweka wote no matter what happened lazima maisha yabaki.
hata kama walimwengu woote tukaumia kwa mabomu ya kinyuklia hatutaweza kupotea wote, lazma kuna kizaz hata cha weak people kitazaliwa baadae ambacho kitakuwa mbadara wetu japo nacho kitakuwa kimebeba madhaifu fulan tokana na maswahibu yaliyopita, Ushahidi ni huko Nagasaki& Hiroshima bado maisha yapo japokuwa wale waliodhurika mpka sas wana generation ya wanadamu walio na madhaifu fulan fulani.

na kwa bahat mbaya tupo ktk nyakat hizo ngumu na hatari..

Hatar yake ni kwamba watu wamejisahau sana kwa kuzani dunia ni sehemu safe na hawana mipango yoyote juu ya future itakuwaje.

Ktk mataifa makubwa wao wanajua nn kitakuja kutokea ndiomaana tunawaona kila siku wakibuni mbinu za kusave raia wao kwenda kuishi nje ya dunia kama hapa hapatokuwa safe.

Pia wamejipanga kwa mapambano na mashambuliz dhid ya maadui,

Ninaposema maadui namaanisha kuwa vita ya3 ya dunia kama itatokea wao wamejipanga kwa kupambana na wale wasio wa milengo yao,

pia adui mwingine ni wa nadharia, yaan aliens invasion& AI Robotics wars,

Ambapo ktk nadharia hizi wao husema kuwa inaweza tokea siku kulingana na maendeleo ya technology kunaweza kutokea perishable/interference into artificial intelligence ambazo zimekuwa zikiundwa kwa ajili ya kucontrol machines mbalimbali , vifaa na mifumo yote ya mawasiliano na siraha, sasa kutokana na uvamizi wa programs haribifu(viruses) ktk fikra bandia hizo za machines na kupelekea kufanya matendo ya kiutofaut na commands zilizowekewa na mwanadamu AI hizo zifanye kazi zinaweza kuleta madhara makubwa dunian.

Na ktk vita hivi, itakuwa ngumu sana kwa mwanadamu kupambana na hawa robot waliokwisha affectiwa na viruses ama kuwa controlled na watu waovu ambapo itahitajika misaada ya kuunda ant-viruses za kuuwa programs hizo endeshi kinyume na commands, pia kukimbia mazingira hatarishi ambapo mifumo tambuzi ya hawa roboti inaweza mdhuru mwanadamu.

Kiufupi naposema AI kwa kwa lugha gongana namaanisha AI is the ability of a machine to display human-like capabilities such as reasoning, learning, planning and creativity, AI enables technical systems to perceive their environment, deal with what they perceive, solve problems and act to achieve a specific.

Mifano ya hiyo machines learning (robots& duties)

Image recognition. Image recognition is a well-known and widespread example of machine learning in the real world. ...

Speech recognition. Machine learning can translate speech into text. ...

Medical diagnosis

Statistical arbitrage.

Predictive analytics.

Na hizo ni baadhi ya mifumo na fikra bandia ambazo husetiwa ktk hizo robot kudetect hali kulingana na kazi zake, wapo robot multi-Duties yaan wanaofanya kazi zaid ya moja na hawa huwekewa mifumo tambuzi ya aina tofaut tofaut ili kukidhi matakwa, pia wapo robot single purpose ambao huwa na mfumo tambuzi bandia wa aina moja ambao hudili na kazi moja tuu.

Kazi za maroboti hao ni nyingi sana, inaweza kuwa ktk mapishi kwnye migahaw na mahotelin, mahospitalin ktk kufanya upasuaji, kutunza madawa, kugundua aina za magonjwa, kupima wagonjwa.

Pia kuna robot hawa wanao husika na mitandao ambao kaz zao ni ulinz wa data za watumiaj pia wengine hutumika kwa ajili ya upelelezi na udukuzi wa data za walengwa.

Pia kuna hawa robot ambao hutengenezwa just for funny mfano huyo robot sofia aliyetengenezwa kama mwanadamu ambaye anaweza kuwa kama rafiki kwa mtu kupiga nae story,kufanya urafiki na kushare nae Mambo mbalimbali huyo nae ni aina ya multi-duties AI machine.

Kuna mifano mingi ya marobot ambao tyr wapo kazin [emoji116]
Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Piaggio Fast Forward’s AI robot acts as an extra set of hands. Are your groceries too heavy? Maybe you just can’t carry all your workout gear? Piaggio’s Gita robot uses AI to follow its owner close behind, acting as a versatile, hands-free carrier.

Perceptive Automata

Location: Boston, Massachusetts

How it’s using AI: Perceptive Automata uses machine learning to help autonomous vehicles with one of the most important parts of their jobs- predicting human behavior. Most autonomous vehicles are currently rigid in their driving capabilities, meaning that they drive conservatively and sometimes counterintuitively to human behavior. Perceptive Automata’s AI robot technology is constantly teaching autonomous vehicles about human behavior and showing cars how to operate safely in a human driver-dominated world.

Sasa robot hawa wanakuwa useless na dangerous pale wanapofanya kazi tofaut na maagizo waliyowekewa ktk mifumo yao tambuzi& endeshi mfano robot wa kutibu wagonjwa akaanza kufanya mamboo kinyume na maelekezo, pia robots wa kucontrol siraha za kinyuklia wanapokuwa attacked by viruses au kufikiwa na mikono ya watu wabaya kwa kuanza kutenda matendo kinyume na sheria walizowekewa.

Kuna mengi kuhusu haya mambo siwez elezea sana lkn hawa watu wa nchi zikizoendelea wamejipanga vzur kudeal na haya mambo pale yaendapo vibaya.

Huku kwetu tupo bize kubishania mambo yakipumbv tu.




View attachment 2105769
Hili swala mwishoni nimecheka sana
 
Back
Top Bottom