Mwanadamu hukinai kitu kadri anavyoendelea kukitumia

Mwanadamu hukinai kitu kadri anavyoendelea kukitumia

LOVINTAH GYM

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
459
Reaction score
653
LAW OF DIMINISHING MARGINAL UTILITY

Kiufupi hii law inaelezea ukinai wa kitu unavyotokea.

Kadri mtu anavyokitumia kile kitu kinamfanya akichoke na asikitamani tena.

Hii law inaendana na law of diminishing marginal return, tofauti ni kwamba ya marginal return inaelezea upande wa productivity and efficiency, na hii ya marginal utility inaelezea upande wa tabia ya mwanadamu.

Mfano 1:
Mtu ukiwa na njaa unakuwa na hamu ya kula sana, ila kadri unavyoendelea kula njaa inapungua na hamu ya kula inapungua kutokana na kushiba.

Mfano 2:
Ukimuona mwanamke mrembo unakua na shauku ya kuwa nae kutokana na tamaa ila baada ya hapo ni rahisi kumuona wa kawaida na hana mvuto kama ulivyomuona mwanzo.

Mfano 3:
Mara ya kwanza kununua gari au simu utaipenda sana, ila kadri unavyoendelea kulitumia unaliona la kawaida na unatamani kuliuza na kununua lingine

Point ni kwamba, mwanadamu hukinai kitu kadri anavyoendelea kukitumia sasa ili kuepuka ukinai basi kama ni chakula mtu ale kwa kiasi ili kesho akione kitamu.

Kama ni Gari basi liongezee nakshi nakshi ili uzidi kuliona jipya.

All in all, kila kitu kwa kiasi.

Karibuni wachangia hoja
Law-of-diminishing-marginal-utility.jpg


#productivity
#law #diminishingmarginalutility #satisfaction #economics

Lawofdiminishingmarginalutility.jpg
 
Kwa Mke(siongelei mwanamke, huo ni usinsi na sarati!), kumchoka inategemea na tabia yake. Mke disciplined, hardworking, anayemuheshimu sana mume wake, mtunzaji nyumba mzuri, mpishi mzuri, anayemtunza mume wake kwa usafi (Kila mara nguo zimefuliwa na kupigwa pasi), Mke anayemuuliza mume wake angependa kupikiwa nini kwa siku hiyo, nk, daaaah! sidhani asilani kama utamchoka.

Naapa mbele ya mbingu na dunia, siku atakapoondaka, utakufa!!
 
Kwa Mke(siongelei mwanamke, huo ni usinsi na sarati!), kumchoka inategemea na tabia yake. Mke disciplined, hardworking, anayemuheshimu sana mume wake, mtunzaji nyumba mzuri, mpishi mzuri, anayemtunza mume wake kwa usafi(Kila mara nguo zimefuliwa na kupigwa pasi), Mke anayemuuliza mume wake angependa kupikiwa nini kwa siku hiyo, nk, daaaah!!!, sidhani asilani kama utamchoka.
Naapa mbele ya mbingu na dunia, siku atakapoondaka, utakufa!
NDIO KWENYE THEORY YA DIMINISHING MARGINAL RETURN TUNASEMA KUWA MTU AWE NA KITU ZAIDI YA KIMOJA.
Sio kwasababu wewe ushaolewa unajua kupika ndio inatosha, inamaana kupika sawa ni advantage, ila pia utunze watoto, umuheshimu mume nk
 
Kwa Mke(siongelei mwanamke, huo ni usinsi na sarati!), kumchoka inategemea na tabia yake. Mke disciplined, hardworking, anayemuheshimu sana mume wake, mtunzaji nyumba mzuri, mpishi mzuri, anayemtunza mume wake kwa usafi (Kila mara nguo zimefuliwa na kupigwa pasi), Mke anayemuuliza mume wake angependa kupikiwa nini kwa siku hiyo, nk, daaaah! sidhani asilani kama utamchoka.

Naapa mbele ya mbingu na dunia, siku atakapoondaka, utakufa!!
Useless kabisa ivi mnaona kuishi na wanawake ndyo bigdeal na ukiachana na uyoo huwezi pata mwingine nikwambie Tu unaweza achana na uyoo na ukapata30 wenye mapenzi mazuri , warembo na watakao kusikiliza kuliko Yule wa Kwanza free your mind Mme au mke au mpenzi unaweza pata yoyote WA kukupa furaha tena isiyo na kifani bila kumuwaza Yule wa nyuma
 
Hujui ni kiasi gani nalipenda hili li Huawei langu wewe. Nakupenda my Huawei y7 prime 2019 wewe ndio my valentine mwaka wa pili huu niko na wewe na wanitunza huku na me nakutunza. Sema usinipeleke vibaya licha ya kunipa access ya kulog in huku jf nikakucheat kwa cocastic
 
Mkuu unanikumbusha AEA 210 Agribusiness pande za SUA nilitokea kulipenda sana japo ilikua ni elective course
 
Naomba ufunguke kidogo kwenye economics hapo mkuu..maana hiyo law of diminishing inanisumbua kidogo.
 
Labda kama huyo mwanamke habadili style.. ila akiwa anabadili hiyo principle haitofanya kazi katika hili
 
Useless kabisa ivi mnaona kuishi na wanawake ndyo bigdeal na ukiachana na uyoo huwezi pata mwingine nikwambie Tu unaweza achana na uyoo na ukapata30 wenye mapenzi mazuri , warembo na watakao kusikiliza kuliko Yule wa Kwanza free your mind Mme au mke au mpenzi unaweza pata yoyote WA kukupa furaha tena isiyo na kifani bila kumuwaza Yule wa nyuma
Tigo ikitolewa furaha huongezeka maradufu
 
Back
Top Bottom