Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Inawezekana isiweze kabisa!!!!Kwenye mambo kama haya namkumbuka sana Nyani Ngabu. . . . !!
Habari za evolution mimi sizikubali kabisa. Na ni simple common sense tu. Wanatuambia eti inachukua mamilioni ya miaka....bogus!
Kama ni hivyo mabadiliko yajayo yatakuwa lini na katika viumbe gani?
Evolution ya bacteria haichukui mamilioni ya miaka.
Ever heard of antibiotics resistance? That is evolution. It is faster in bacteria because of scale.
Again, don't expect to see the curvature of the earth on your front door. Or the curvature of space time in front of your nose.
Habari za evolution mimi sizikubali kabisa. Na ni simple common sense tu. Wanatuambia eti inachukua mamilioni ya miaka....bogus!
Kama ni hivyo mabadiliko yajayo yatakuwa lini na katika viumbe gani?
Viumbe hai vingekuwa perfectly efficient systems kusingekuwa na "natural" death.
Kwa misingi hiyo, ni bora kuwa viumbe hai si 100% efficient systems kwa sababu inapelekea kufa na kupungua, na vizazi vyengine kujaza dunia (or should I say ulimwengu?!).
Juu ya hayo, binaadamu (pamoja na influence ya mazingira) anaweza ku-improve efficiency ya system yake na ndio maana kuna jamii nyengine kwa wastani watu wake wanaishi miaka 86 wakati jamii nyengine ni miaka 53
Suala nilionalo ni jee anaeweza kuimprove efficiency ya system yake inamaana anatumia asilimia kubwa zaidi ya uwezo wake wa ki-akili?
For the layman Does the Multiverse Really Exist?: Scientific American
Can you show that the universe is a self sufficient system? That is more like the question.
kwani we unafahamu mbuzi alitoka wapi?
Tegry,
Mbuzi alizaliwa na mbuzi aliyezaliwa na mbuzi.
Analogue: Siku moja nilipita sehemu nikakuta tangazo limebandikwa ukutani linasomeka hivi: "USIPOJIANDIKISHA HUTAPIGA KURA".Kwenye tangazo hilo alikuja mtu fulani na kalamu halafu akaandika kwenye karatasi hiyo hiyo, mbele ya hayo maandishi akauliza swali linasema hivi "USIPOPIGA KURA JE?", Baadaye tena alikuja mtu wa pili akakuta hilo swali lililokuwa limeulizwa halafu naye bahati nzuri akapata nafasi ya kulijibu akaandika hivi "HUTAJIANDIKISHA", nadhani umepata mlolongo huo.
Kwa hiyo tutumie logic hiyo ili kuweza kujua kuwa mbuzi alitoka wapi, kwamba kama usipojiandikisha huwezi kupiga kura ina maana usipopiga kura hutajiandikisha! Vivyo hivyo kama mtu ni mtoto wa mtu aliyezaliwa na mtu, basi mbuzi naye ni mtoto wa mbuzi,aliyezaliwa na mbuzi!
Sijui hebu niambie wewe,alitoka wapi?
This is just another MANY UNIVERSES ideology which may not be irrefutable, but hasn't yet been proven. However, even if it were, it would not have anything to do with the inefficiency theory ou are trying to advocate here, for all cases of closed bigger/wholly systems, unless the current laws of physics comes to suggest a proof that different laws of physics hold differently in different universes (which is not the case at the moment). We therefore should agree at the moment that our universes as a closed system is perfectly efficient in that its accumulated sum of its pararmeter is eternally constant i.e constant at any time t.
Roulette, kama sijaelewe vizuri vile ... "uwezo wa kufkiri" .. na ... "uwezo wa kutumia akili"... Uwezo wa kufikiria unaweza kua ni ule ule kwa races zote, ila namna ya kutumia akili imekaa so subjective kiasi kwamba mtu anaonekana mjanja au mjinga kufatana na standards za civilisation inayo tawala...
Inaonekana binadamu ana uwezo mkubwa sana lakini bado hajautumia.Niliwahi kusoma utafiti mmoja na ikagundulika kwenye utafiti ule kuwa mwanadamu anatumia uwezo wake wa akili au kufikiri kwa asilimia 10 tu!Yaani pamoja na vituko vyote hatujaweza hata kutumia asilimia 50!Kumbe inawezekana ikawa sababu ya upofu wetu wa kujijua na kujua kuhusu nguvu zinazotuzunguka kama Mungu n.k,au ndo maana tunaamini katika hizo nguvu,yaani huenda hazipo na tunashindwa kujua hazipo kwa sababu hatufikiri vyema!
Roulette, kama sijaelewe vizuri vile ... "uwezo wa kufkiri" .. na ... "uwezo wa kutumia akili"
are these two different gears ?
This then, brings us to the next ... ! There must be another Human Intelligence apart from IQ to be considered when trying to evaluate the whole matter given on the topic!I understand that IQ is all about Mental state/ The Intellectual ability!! BUT No doubt, there exist another faculty in human being apart from Intellectual state which I believe isnt that much developed ... Which can contribute to the totality of his general Intelligence!! AND I believe ... some scientist intuitively or otherwise ... feels/perceive that Human being has a lot of his intelligence not yet explored!!No dear, the two mean the same in this context. what I wanted to underline is the fact that we can be both stupid (or intelligent, to stick to the truth) but the standards used to evaluate our intelligence put you ahead of me. Mfano, IQ test tests only the ability to quickly solve certain problems using the logic of deduction. and that, we have to agree, is not all that intelligence is about.
So,tukiamua kuihoji hiyo "inawezekana yako"unaweza kutuambia nini kiliwafanya wakawa tofauti?
Miaka milioni 4 iliyopita binadamu wa sasa alikuwepo?
Kama hakuwepo alikuwa wapi? & how did he come into existance?