Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida hatanielewa" au utasikia "swala hili liko nje ya upeo wa akili za mwanadamu" (hasa mambo ya dini) n.k.
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"
Okay..Nimekusoma mkuu.
Ila TL mbona ni mtu mwenye kusaidia sana wanyonge.
Sema huwa hafichi ukwel ndio kitu kinachofanya wenmgine wamtafsiri kama mtu mwenye majivuno.
Sema
Kwahiyo ukielewa kitu unakua hujatumia akili ya kawaida?
Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida hatanielewa" au utasikia "swala hili liko nje ya upeo wa akili za mwanadamu" (hasa mambo ya dini) n.k.
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"
Anakuwa ameshushiwa na roho mtakatifu, 'tifu' mtaani kwetu maana yake fujo, kwa hiyo nikisema " anakuwa ameshushiwa na roho mtakafujo" mnisamehe bure!Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida hatanielewa" au utasikia "swala hili liko nje ya upeo wa akili za mwanadamu" (hasa mambo ya dini) n.k.
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"
Mambo mengine ni mbwembwe na tambo tu za humu mkuuSasa mkuu mtu anapoleta mada na anaweka kabisa angalizo kwamba kitu hiki kwa akili ya binadamu wa kawaida hamuwezi kuelewa, wakati binadamu wote tuna tumia akili hii hii ya binadamu, anakua ana maana gani?
Tuseme ukweli hapa mkuu unatumia akili usiyo ya kawaida kutuburuza wenye akili za kawaida!Jitahidi kusoma vitabu, makala mbali mbali ili kupanua ufahamu wako. Mfano tunaamini kwamba sisi ndio binadamu wa kwanza kuishi hapa duniani. Lkn ukiwa mdadisi na kusoma vitabu na makala mbali mbali utakuja gundua kwamba kabla yetu kulikuwa na jamii iliyoendelea sana ilikwepo kabla yetu. Ndio hao waliojenga majumba makubwa makubwa ambayo tofali lake moja ni km behewa la treni. Hii jamii ya watu wakubwa Giants ilikuja teketetezwa wakati wa great floods au Gharika kuu. Nenda Mexico, Misri, Lebanon Syria, Iraq, India Japan utakuta hizo Megalithic structures zilizobakia.
Kwenye haya majengo utakuta picha zimechorwa za astronauts wa kale na ndiyo tecnolojia wana anga wa sasa wanatumia. Hayo majengo yalijengwa kwa mawe na si tofali km zetu hizi. Jiwe limekatwa vizuri kama wewe unavyoweza chonga kinyago cha mbao. Jiwe kubwa kama behewa la treni limetobolewa katikati, na kuchongwa vizuri. Technolojia hiyo bado hatuna.
Kwa hiyo kwa akili ya kukaririshwa tu vitabu vyetu hivi huwezi fikiria nje ya box
Jionee mwenyewe hizo Megalithic structures. Hakuna mashine inayoweza nyanyua Hilo jiwe kwa teknolojia yetu sasa. Ni mawe makubwa yamekatwa yakakatika. Niambie wapi sasa hivi unaweza kuta wamekata mawe makubwa kama hayoTuseme ukweli hapa mkuu unatumia akili usiyo ya kawaida kutuburuza wenye akili za kawaida!
Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida hatanielewa" au utasikia "swala hili liko nje ya upeo wa akili za mwanadamu" (hasa mambo ya dini) n.k.
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"
Ni utamu wa lugha.