"Mwanadamu wa kawaida" huwezi kuelewa

Hapana mkuu. Asilimia kubwa ya kile tunachoita akili hurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine hivyo watu watofautiana kwenye uwezo kufikiri toka utotoni.
Lakini uko sahihi kwamba watu wengi wana kiwango cha kawaida cha akili(average intelligence) na tofauti ipo kwenye kuindeleza akili au kuongezea uwezo wa mtu wa kufikiri kwa kujifunza. Zingatia pia kuwa wale wanazaliwa na kiwango cha juu cha akili wana uwezekano mkubwa zaidi wa kuendeleza akili zao.
Mimi nafikiri tukubaliane kwamba binadamu wote tuna akili za kawaida. Labda tofauti inakuja pale ambapo mtu umeamua kuinoa akili yako kwenye eneo fulani kwahiyo unakua unajua zaidi kuhusu eneo hilo, ila sio kwamba una akili isiyo ya kawaida.
 
Well Explanation. Zurri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
URE TOTALLY WRONGLY
 
Angalia hizo Megalithic structures nani anaweza beba tena kujengea nyumba kwa Mwanadamu wa kawaida?View attachment 1025662View attachment 1025664
Kosa kubwa mnalodanganya watu wa siku hizi

Ni,kuona binadamu wa kale walikuwa hawana ujuzi na maarifa
Na hizi Ni propaganda za watu zenye agenda ya Siri katika kukamilisha ya kwao

Hizi mnazoziita technology au science ni copy&paste ya Zama za watu wa kale

WATU WA KALE WALIKUWA NA AKILI NA UJUZI MWINGI KULIKO WA SASA.

Endeleeni kukalilishwa,wakati hata hao kina
Eistein,Netwon, Pythagoras etc
walifanya ku copy&ku paste
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…