bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
lakn radio zngne c zinaupga hyo track au mpaka clouds ipige ndo mseme umepgwa? Nakusikilizwa?Ruge si kamdanganya FA eti kwamba 2015 atapewa ubunge wa Muheza na JK..Nyambaffffff
ubunge anazani unakuja ukiwa umekaa miguu juu, ukitaka jua anabebwa na Clouds Jay Moe katoa track ya ukweli weekend bt hawaipigi kama ya huyu kibaraka wao, wakati msg iliyomo kwenye song la Jay Moe ni kali zaidi ya huyu aliye sample nyimbo ya watu
Dah! jay Moe mkali sana! Nyimbo zake kali sana lakini hapewi nafasi pamoja na ukongwe wake.hapo ndio ninapomuelewa Sugu!Ruge si kamdanganya FA eti kwamba 2015 atapewa ubunge wa Muheza na JK..Nyambaffffff
ubunge anazani unakuja ukiwa umekaa miguu juu, ukitaka jua anabebwa na Clouds Jay Moe katoa track ya ukweli weekend bt hawaipigi kama ya huyu kibaraka wao, wakati msg iliyomo kwenye song la Jay Moe ni kali zaidi ya huyu aliye sample nyimbo ya watu
Msanii nguli wa miondoko ya hiphop Tanzania Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwana Fa ageukia upande wa pili katka soko la taarabu.Na kwa kuanza leo ameachia kibao chake kipya kinachoitwa 'Yalaiti' ambao ulikuwa wimbo wa Malika na baadae kurudiwa na Bi.kidude..
Katika kibao hcho ambacho amemshirikisha Ndege mnana kutoka T.H.T bibie Linah Sanga..
Mwana Fa pia ni msanii ambaye anatumia kiswahl kizuri na Tamathali za semi kwa ufasaha..
'Nimeamua kuurudia wimbo huu,kwa kuwa ni moja ya nyimbo ambazo zime ni'inspire' kupenda zaid Taarab za zamani(sio modern) na bado wimbo huu ni classic na utazid kuwa classic,nina uhakika nimeutendea haki' Alisema Mwana Fa na kuongeza kuwa Video yake itatoka jumatatu ya juma lijalo ambayo imefanywa na kampuni ya Visual lab na Audio hiyo imetengenezwa na producer marco chali katika studio za MJ RECORDS..
haters .... mtabaki kuwa haters ..FA ni matawi mengine.. anakipaji... msomi... kile kikundi cha sugu wataishia kumwaga matusi tu kwanza sidhani hata kuna mmoja kati ya wale amemzidi kielimu Fa...
nilidownload album yao anti virus nilisikiliza nyimbo MOJA nika delete folder yote ...
eti wanafanya hiphop... warudi class wakajifunze hiphop ni nini..?
pia nampongeza kwa kuchukuwa zilipendwa kama hizi .... na kufanya remix .. miziki kama hii ya kina siti bint saad haitakiwi kusahaulika katika tanzia ya burudani za culture ya watu wa pwani na visiwani
Ruge si kamdanganya FA eti kwamba 2015 atapewa ubunge wa Muheza na JK..Nyambaffffff
ubunge anazani unakuja ukiwa umekaa miguu juu, ukitaka jua anabebwa na Clouds Jay Moe katoa track ya ukweli weekend bt hawaipigi kama ya huyu kibaraka wao, wakati msg iliyomo kwenye song la Jay Moe ni kali zaidi ya huyu aliye sample nyimbo ya watu
Ana uwezo mkubwa sana wa kuimba..Tatizo katabia kake kale katamtoa kwenye game..yoo
hahahaha!!!!vijanaa wanapo elekeaa,hip hop mpaka mipasho...cameroon jamaniiii!!!ilaa kama msanii lazimaa uweze kufanyaa kazii zote ubadilike kutokana na soko,
mwanzo wa kuporomoka huo,
akitoka taarab
ataingia kwenye nyimbo za asilia (malingi)
Wimbo Yalaiti ulitokea Cuba katika kipindi kati ya miaka 1920 na 1930, umekuwa unaimbwa Zanzibar kuanzia miaka ya 50 kipindi Bi Kidude bado msichana, hii habari ya kuwa ni wimbo wa Malika ukarudiwa na Bi Kidude ni uwongo mtupu, wimbo umeanza kuimbwa kabla Malika hajazaliwa...................
mwana fa ni jembe, hata medula yako inatambua, ni ujeur wako wa kifikra tu ndo unakupotosha. Tumpe sifa though ana mapungufu.
haters .... Mtabaki kuwa haters ..fa ni matawi mengine.. Anakipaji... Msomi... Kile kikundi cha sugu wataishia kumwaga matusi tu kwanza sidhani hata kuna mmoja kati ya wale amemzidi kielimu fa...
Nilidownload album yao anti virus nilisikiliza nyimbo moja nika delete folder yote ...
Eti wanafanya hiphop... Warudi class wakajifunze hiphop ni nini..?
Pia nampongeza kwa kuchukuwa zilipendwa kama hizi .... Na kufanya remix .. Miziki kama hii ya kina siti bint saad haitakiwi kusahaulika katika tanzia ya burudani za culture ya watu wa pwani na visiwani