Huo ukaribisho nimeupenda mimi jamaniii handsome!!haya kigori nimefika
karibu sana kwenye familia ya great thinkers.
mgeni huyu hapa ni shemeji yako naomba umuheshimu sana na kumsikiliza.
ukitaka ugomvi na mimi basi umkorofishe hyu miss wangu, naununua ugomvi mzima mzima.
'vigezo na masharti kuzingatiwa'
Huo ukaribisho nimeupenda mimi jamaniii handsome!!
Umemuona mgeni lakini?!
mimi ndo admin humu ko naomba n pm namba ako, nkupe utaratbu wa kufuataMm Ni mpekukuz Sana Wa mitandao huwa natafutaga ufumbuz Wa maswala mbali mbali haswa ya kibiashara n.k so huwaga naona watu wengi hutatua mambo yao kupitia hii blog so nkaona bora nijiunge
Viti vipo tele ajichagulie kitakachomfaaHahaha hahaha
Naomba mumpokee kwa mikono miwili
Mhhhhhh
Mhhhhhh
Upo vizuri sana mkuu
Mbona pale juu umeulizwa kuwa umeolewa? Ukasema una mchumba, sasa tukueleweje?
Namba muhimu mkuu,tumeshaisave kwa matumiziHizo namba hapo juu umeweka za nini sasa??
Kweli wewe mgeni wa JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]wewe ujue mtundu sana. Umemchuuza mgeni hivi hivi, kaweka kweli no ya simu na picha.[emoji1787]
Mti wenye matunda.
Usimgombeze mgeniNa umekubali kutoa namba za simu na picha yako kweli kuku kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
Huo mti una matunda gani etiYombo empire....
Mti wenye matunda.
AmekusikiaViti vipo tele ajichagulie kitakachomfaa
UtambulishoHizo namba hapo juu umeweka za nini sasa??
Kweli wewe mgeni wa JF
Elewa ana mchumba banaMbona pale juu umeulizwa kuwa umeolewa? Ukasema una mchumba, sasa tukueleweje?