nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,035
Ewaaaaa...makopa kopa.
apple kwa ajili yako
Basi unavyoshangilia kuchuza mgeni humu! Haya sasa save hako ka no kwa matumizi MkuuJina lako halisi ni lipi?!
Umri wako tafadhali...
Picha yako halisi
Namba zako za simu..
Karibu sana JF
najua kila unachokipenda na kukihitaji Kigori.Ewaaaaa...
Nayapendaaa
Nimekasave kitaaambo sana Mkuu!Basi unavyoshangilia kuchuza mgeni humu! Haya sasa save hako ka no kwa matumizi Mkuu
Unaongea na nani eti babake mtoto mzuriSawa mtoto mzuri[emoji3590][emoji3590]
Asante mno handsome!najua kila unachokipenda na kukihitaji Kigori.
Ni wivu tuuDah we mgeni kiboko, na kanamba umetupia kabisa na kapicha juu? Utakuwa umechachawa kuona umeulizwa na mdada! Sasa ustarabu humu dani unakuhusu vinginevyo ukizinguq unaanikwa tu,,,,, ila usiogope
Hahahah daaaa
Ahhaa kaazi kweli kweliii.
Mwambieni sio fb hii [emoji28][emoji53][emoji28][emoji28][emoji28]
MuhhhhhhhNi wivu tuu
Na wewe mremboUnaongea na nani eti babake mtoto mzuri
Babake mtoto mzuri usiniambie yale malovee ni yanguNa wewe mrembo
NdiwoooMuhhhhhhh
Mpokee mgeniiHahahah daaaa
Sakayo, vibaya hivyo, dash!!Jina lako halisi ni lipi?!
Umri wako tafadhali...
Picha yako halisi
Namba zako za simu..
Karibu sana JF
Baada ya kumchuuza!! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Karibu sana JF mdogo wangu!
Mefanya nini eti MkuuSakayo, vibaya hivyo, dash!!