Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
inasikitisha binti wa kidato cha pili kabakwa na wanafunzi wa tano kidato cha nne...huku wanafunzi hao wameendelea kuwepo shuleni bila kuchukuliwa hatua...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una maana gani unaposema amebakwa?
1.Mbakaji alitumia nguvu kumuingilia huyo binti?
2.Mtuhumiwa amefanya ngono na mtu aliyekuwa under 18?
Nijibu kisheria zaidi.
Na je?wewe ni nani katika kesi hii,upo wapi na umejuaje tukio hilo?
Wapi umeliripoti?
Au walikubaliana kama michezo yao ya mapenzi inavokuwa ila wewe umeumia kugongewa mwanao?
mabint mbona wamezoea mande ndo analizika