Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Secondari Kiromba, Azana Dadi (13) ambaye ni Mkazi wa eneo la Muungano kata ya Kiromba wilaya na Mkoa Mtwara, Amekutwa amejinyonga chumbani kwake kwa kutumia mtandio wake.
Jeshi la polisi Mtwara linafanya uchunguzi wa tukio hilo aidha UCHUNGUZI wa awali ulibaini kuwa kabla ya tukio hilo la kujinyonga, marehemu alitaka kwenda kuangalia video usiku na ndipo alipozuiliwa na kaka yake, hivyo basi kitendo hicho cha kuzuiliwa kwenda kwenye banda la video usiku ndicho kilichopelekea maamuzi mabaya ya mtoto huyo kujinyonga.
Jeshi la polisi Mtwara linafanya uchunguzi wa tukio hilo aidha UCHUNGUZI wa awali ulibaini kuwa kabla ya tukio hilo la kujinyonga, marehemu alitaka kwenda kuangalia video usiku na ndipo alipozuiliwa na kaka yake, hivyo basi kitendo hicho cha kuzuiliwa kwenda kwenye banda la video usiku ndicho kilichopelekea maamuzi mabaya ya mtoto huyo kujinyonga.