Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mlete tumpe bakola anyooke,Ndio maana elimu inazidi kurudi nyuma. Mwanangu hatosoma hoi nchi I swear.
Wewe unafikiri hiyo ilikusaidia?Vitoto vya siku hizi vina viburi na maadili ni sifuri, nao walimu hawana maadili, wazazi nao ni wa ovyo , yaani tafrani tu .
Nilishapigwa fimbo kama 90 , mzazi kuniona nimevimba akanichukua akanirudisha shule walimu wakampa maelezo , kengele ikapigwa mzee akanikaragaza fimbo kama utitiri pale paredi.
Ni kwel unachokisema kwa sasa ,ila kwa kipindi hicho tulipigwa vibaya mno na kwa hilo tulijifunza kuchapa kazi na kuvumilia katika kila hali , ila nakuunga mkono hoja yako.Wewe unafikiri hiyo ilikusaidia?
Kumpiga sana mtoto kunamfanya awe sugu tu.
Mtoto akifanya kosa sio lazima upige kama nyoka, unaweza kumpa adhabu nyingine yenye faida, na akajifunza akabadilika.
Kabisa mkuu inabidi walimu wawe hivi ,kwasababu wazazi wameshindwa kuwalea watoto kwenye misingi ya maadili kwanzia ngazi ya familia , mzigo wa malezi katupiwa mwalimu ,mwisho wa siku lawama .Mimi nakubali sana wale walimu wenye msimamo wa 'Sigusi mtoto wa mtu, atajijua na mzazi wake'.
Hii nayo siyo nzuri.Mimi nakubali sana wale walimu wenye msimamo wa 'Sigusi mtoto wa mtu, atajijua na mzazi wake'.
Tangu uhuru ni mboko tu ndo maana tumekuwa wasindikizaji kwenye elimu duniani kwa kuzalisha wasomi uchwara.Vita ya walimu na wanafunzi sijui itaisha lini!
can you just imagine it's your kid...Daaah huu utandawazi bhn, mbona uvimbe wa kawaida tu huo au labda unataka kusemaje