Mwanafunzi anayedaiwa kuchapwa viboko na kumuacha na uvimbe na makovu Dodoma

Mwanafunzi anayedaiwa kuchapwa viboko na kumuacha na uvimbe na makovu Dodoma

mlete tumpe bakola anyooke,

unanvyoongea mwanao asipigwe stiki ila wewe ukishikwa na polisi una lambwa makofi na hauna cha kuwafanya.
Bakora zingekuwa zinasaidia tusingekua na viongozi wa hovyo wanaofikia hatua ya kutusi wananchi.
 
Nimewahi kupigwa mpaka nikazimia . Nilipoamka nimevimb mwili mzima na mwalimu hakuna kitu amefanywa
 
Wewe unafikiri hiyo ilikusaidia?

Kumpiga sana mtoto kunamfanya awe sugu tu.

Mtoto akifanya kosa sio lazima upige kama nyoka, unaweza kumpa adhabu nyingine yenye faida, na akajifunza akabadilika.
Watoto wa Kitanzania wamelelewa katika nidhamu ya woga. Mtoto muda wote ana hofu atakosea ataadhabiwa. Hata kujieleza vizuri hawezi sababu ya woga.

Mnasema fimbo ni kwa ajili ya kunyosha maadili lakini ni nani anaangoza kwa kuwa na maadili ya hovyo kati yetu na Wazungu?

Nani anayeua Albino?, nani mla rushwa?, nani fisadi?, nani anaibia majeruhi wa ajali?, nani wanaopitisha miswada ya kukandamiza watu wao?

Hii dhana ya Kitanzania manguvu mengi akili kidogo inaturudisha nyuma sana. Kila sehemu tunaamini nguvu ndio suluhisho. Mtu kamsaidia binadamu mwenzake aliyepatwa na ajali, kamfikisha Polisi apate Pf3 akatibiwe cha ajabu anawekwa ndani yeye ndio kamgonga.

MANGUVU MENGI AKILI KIDOGO, MATOKEO MADOGO.
 
Mkuu wa mkoa wa Dodoma, ni mama asiye na huruma!

Wanawake wanabakwa,wanalawitiwa, wanachapwa,yeye Yuko hapo Dodoma kimyaaaa.

Hatoi sauti!
 
Wewe unafikiri hiyo ilikusaidia?

Kumpiga sana mtoto kunamfanya awe sugu tu.

Mtoto akifanya kosa sio lazima upige kama nyoka, unaweza kumpa adhabu nyingine yenye faida, na akajifunza akabadilika.
kumbuka: without fear or pain there is no accountability
 
Kama wazazi wenyewe ndiyo nyinyi mliozaliwa miaka ya 1990's na 2000's, waacheni tu walimu wawalelee watoto wenu kwa bakora. Maana hakuna namna nyingine. Kwanza wengi wenu ni vilaza, na hamjitambui.
 
Watoto wa Kitanzania wamelelewa katika nidhamu ya woga. Mtoto muda wote ana hofu atakosea ataadhabiwa. Hata kujieleza vizuri hawezi sababu ya woga.

Mnasema fimbo ni kwa ajili ya kunyosha maadili lakini ni nani anaangoza kwa kuwa na maadili ya hovyo kati yetu na Wazungu?

Nani anayeua Albino?, nani mla rushwa?, nani fisadi?, nani anaibia majeruhi wa ajali?, nani wanaopitisha miswada ya kukandamiza watu wao?

Hii dhana ya Kitanzania manguvu mengi akili kidogo inaturudisha nyuma sana. Kila sehemu tunaamini nguvu ndio suluhisho. Mtu kamsaidia binadamu mwenzake aliyepatwa na ajali, kamfikisha Polisi apate Pf3 akatibiwe cha ajabu anawekwa ndani yeye ndio kamgonga.

MANGUVU MENGI AKILI KIDOGO, MATOKEO MADOGO.
Umeelezea vizuri kabisa mkuu.
 
Back
Top Bottom