DOKEZO Mwanafunzi apasuliwa korodani na polisi, ubongo umeyumba. Alikuwa akiteswa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa watu kam hao ndo wakuwafanyia umafia iwe kwa njia yyt wapate mateso kama niliyoyapata mm naloga nahakikisha wanakufa taratibu kwa maumivu makali. Wale wa kisasi ni cha Mungu watanisamehe.
 
Mkuu tz hii binadamu ni wachache wengi ni manyani. Ona namna wanavyofikiri.

Yaani mtu akikituhumu tu umeiba simu kazi ya polisi wanakujia a malungu tu mpaka useme?? Je kama sio kweli?
 
Hapa Lazima korodani zipasuke.
Note: Picha kwa Idhini ya post za nyuma za JF haihusiani na tukio hili, nimeweka ka mfano wa maelezo ya mhusika.
Wadau tutiii Sheria bila shuruti
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kabla sijafa ninge jitahidi, ni hakikishe hawa watu wa 5 nawaua wote

1. Kaka Ludovic
2.Mkewe
3&4 migambo wa wili
5. Mkuu wa kituo

Yaani hawa pona yao labda wajichimbie wenyewe chini nisi waone ila hata ingeenda miaka mingapi lazima ni wa toe tena kwa kuwakumbusha walicho ni fanyia blood fucken ***** hawa yaani nime chukia sana hili tukio daah [emoji24][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Vyombo husika vichukue hatua
 
Hawa jamaa kwa kweli wakishakula rushwa huwa wanajitoa ufahamu, pole sana
 
Isije ikawa kuna namna huyu aliyekumbwa na mkasa alifanya jambo nyumbani kwa aliyesema aliibiwa laptop, taka kula kimasihara mke ya jamaa.

anyway pole kwa maswahibu yalokufika, nilichojifunza ukipigiwa simu na mtu ambaya kwa muda hamjawahi wasilianaa/onana ni muhimu ukachukua tahadhari kwa kutoa taarifa kwa wengine kabla ya kwenda na pia kwenda na mtu wa karibu na wewe ama agiza watu wakufwatilie kwa nyumaa taratibuu
 
Kisa cha kujiita Adolph Hitler jr kwa sababu nikipitia thuruba hizo na nitalipiza tu
 
"katiba mapya itasaidia kupata viongozi walio chini ya sheria hakuna kiongozi aliyejuu ya SHERIA Hata RAIS aliepo madarakani hatokuwa na Kinga ya kutoshtakiwa,hivyo atajitahidi KUHAKIKISHA usalama wa Binadamu dhidi ya unyama kama HUU!!

Mungu tusamehe KWA MAAMUZI mabovu ya katiba mbovu!!

Ibariki Tanzania
 
Me ndo maana namalzia process za mwsho nichukue bastola yangu NASEMA HIVI NTAKUFA NA WATU, KAMA WATOTO WANGU WATAKOSA BABA NA WATOTO WAO PIA WATAKOSA F*UCK
 
Daah, hasa huyo Ludovic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…