Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kama kapigwa Kwa sababu kaiba nooooo........sababu kilichoibwa kimetoka Kwa mpenzi ..............
Sasa ktk tukio kama hili la laptop sijui wamekula shng ngap mpaka wafanye unyama kama huuHawa jamaa kwa kweli wakishakula rushwa huwa wanajitoa ufahamu, pole sana
Ndio hapo, laptop ya laki 3, imagine...Sasa ktk tukio kama hili la laptop sijui wamekula shng ngap mpaka wafanye unyama kama huu
Na unaweza ukakuta mshikaji amehonga hyo laptop akaamua ampe dogo msalaSio kama kapigwa Kwa sababu kaiba nooooo........sababu kilichoibwa kimetoka Kwa mpenzi ..............
Unaakili ndogoWosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia
Umewaza kama mimi. Hakika ningedili na mmoja baada ya mwingine. Kuanzia huyo binamu na familia yake, polisi na kituo chao.Kuna meme inasema "usiombe msaada kwa Mungu wakat adui yako unamuweza kabisa " Huyo dogo akiongozwa na roho ya kisasi atafutilia hilo jina la binamu masikion mwa watu.
Alafu mpaka mkuu wa kituo anahusika 😄 ndio maana yule dogo wa simbachawene alijiwahi kujitambulishaNdio hapo, laptop ya laki 3, imagine...
Kama wewe kidogoUnaakili ndogo