DOKEZO Mwanafunzi apasuliwa korodani na polisi, ubongo umeyumba. Alikuwa akiteswa

DOKEZO Mwanafunzi apasuliwa korodani na polisi, ubongo umeyumba. Alikuwa akiteswa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hivi waziri wa mambo ya ndani hajaona mfano wa prof. Kule elimu? Amenyanyuka na watu huku je? Hawayaoni. Namshauri atumie live clip isambae! Watasikia huko juuu
 
Wanawake ni mashetani yaani wanaume wengine wanabeba kila kitu wanachohadithiwa na wake zao hapo bila shaka huyo dogo huyo mke wa mshikaji ndo kafosi hyo issue maana wanawake wengi hawapendi ndugu wa mume itakuwa kuna kitu walitofautiana akaona ampe msala dogo na mwanaume kaingia mazima ila wanaume sisi sometimes kwa wanawake sijui tupoje unamdhuri ndugu yako kwa kitu cha laki 3 wakati matibabu ametumia million 7 na afya yake haipo sawa kweli no woman no cry.
 
Sio kama kapigwa Kwa sababu kaiba nooooo........sababu kilichoibwa kimetoka Kwa mpenzi ..............
Na unaweza ukakuta mshikaji amehonga hyo laptop akaamua ampe dogo msala
 
Kuna meme inasema "usiombe msaada kwa Mungu wakat adui yako unamuweza kabisa " Huyo dogo akiongozwa na roho ya kisasi atafutilia hilo jina la binamu masikion mwa watu.
Umewaza kama mimi. Hakika ningedili na mmoja baada ya mwingine. Kuanzia huyo binamu na familia yake, polisi na kituo chao.
 
Back
Top Bottom