๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ก๐˜†๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ

๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ก๐˜†๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
Ashtakiwa Tanzania _20250311_212250_0000.png



Mwanafunzi mmoja toka chuo cha Koteti Mkoa Tanga nchini Tanzania anaitwa Bonus Mbono nwenye umri wa miaka 21, amepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu na kusomewa mashtaka matatu ikiwemo kuchapisha taarifa za Uongo kupitia Mitandao ya kijamii TikTok.

Pamoja na kutumia line ya simu iliyosajiliwa kwa jina la Mtu mwingine. Mshtakiwa huuo alifikishwa mahakamani hapo Jumatatu, Machi 10, 2025 kwa ajili ya kusomewa Kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 5907 ya mwaka 2025.

Mashtaka hayo yaliwasilishwa na Wakili wa Serikali Erick Kamala mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Gwantwa Mwankuga.

1000_tz_shillings_front.jpg


๐Ÿ’จ Kosa la kwanza ni kuhusu video iliyokuwa inasambaa mtandaoni kwenye mtandao wa TikTok ikimuonyesha Mwalimu Julius Nyerere akiwa anachezesha kichwa chake kwa kukitoa nje ndani kwenye Noti ya shilingi Elfu Moja ya Kitanzania video hiyo iliundwa kupitia Teknolojia ya AI.

๐Ÿ’จ Shitaka la pili linasema kupitia tarehe hiyo hiyo katika Eneo lisilojulikana , mshtakiwa alitumia kifaa kisicho halali kiitwacho Pix Vase kuunda na kupakia chapisho la uwongo kwenye TikTok, akijua kabisa kuwa ni kosa kisheria.

images (5).jpeg


Shtaka la tatu linadaiwa Februari 10, 2025 katika Chuo cha Koteti jijini Tanga, Mbono alitumia SIM kadi iliyosajiliwa kwa jina la Prisca Anthony, kinyume cha sheria na bila kutoa taarifa kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).


Tujihadhari tunapotumia Mitandao ya kijamii โœ…
 
Wao walichapisha taarifa za uongo kwamba Mwarabu akimaliza ujenzi tutakuwa na umeme wa kuuza na kumwaga. Kiko wapi ? Tunaambiwa mateja tutakuwa sisi.

Wiki iliyopita Aweso alichapisha taarifa za uongo kwamba mito imejaa maji kede kede na wamenunua mipampu mipya kama yoteee. Kesho yake DAWASA ikazima data siku saba, maji yamerudi leo asubuhi.

Machapisho ya taarifa zao za uongo ni more deadly kuliko cartoonish jokes za kuchezesha kichwa cha Nyerere.

CCM is calamitously bad news for humanity.
 
Dingi wetu kasema hizo hamaindishi
Kasema kama mahakama inataka kukamata watu wanaofanya mchezo basi ikamate wanaochezea rasilimali za taifa
 
Back
Top Bottom