๐— ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐˜๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฑ๐—ฒ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—•๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ก๐˜†๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ๐—ฟ๐—ฒ

Mambo ya kijinga sana ndio wako nayo hapo TCRA, kuna vizee vimelong stay miaka na miaka hata ukimuuliza huo utundu wa kijana aliofanya kutumia AI havijui vinajua tu mambo ya cold war na upuuzi wa ujamaa.
 
Hivi kuna raisi dunia hii anatukanwa kama D.Trump wa Marekani?

Akiwa anahutubiwa kupewa ishara ya dole la kati na katoto ka 2000 tena sawa na kajukuu kake ni simple tu husikii huko ameshtakiwa mtu njoo bongo sasa.
Ila nyerere siyo rais, hayupo Duniani ila yote kwa yote, Sheria za marekani siyo sawa na sheria za Tanzania.
Huyo jamaa hashitakiwi lwa sheria za marekani bali za Tanzsnia.
 
Dah huyu dogo alishafika chuo, kweli muda unakimbia. #justiceforBonusMbono #freeBonusMbono

Niko kibaha, tumeni wale wa Gogoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ